RSS

Author Archives: monfinance

About monfinance

"Knowledge is of two kinds. We know a subject ourselves, or we know where we can find information on it” said Samuel Johnson. Well, my name is Monica Joseph, a Tanzanian woman with an all-encompassing experience in all aspects of Taxation, accounting, auditing and financial management. A MSc. Finance degree holder from the University of Strathclyde, and, of course a Social media aficionado, I look forward to the happiest and knowledgeable blogging safari ever, with stops at all issues as mentioned above. JOIN ME & LETS DO IT...

GS1 TANZANIA WAMESAINI MKATABA WA MAKUBALIANO NA TBS‏

Mkutano ulifanyika katika ofisi ya TIRDO ambayo ni Taasisi tanzu ya Wizara ya Viwanda na biashara, ambapo kulishuhudiwa utiwaji saini wa makubaliano kati ya GS1 Tanzania na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) katika kushirikiana kufanya kazi pamoja na kujenga mahusiano ambayo ni muhimu haswa kwa wazalishaji wa Tanzania kwani alama ya utambuzi wa bidhaa kwa sasa zinahitajika katika masoko yote ya ndani na nje ya nchi.

TBS imekua ikishirikiana na GS1 Tanzania katika uelimishaji wajasiliamali ambayo mafunzo kadhaa kati ya Taasisi hizi mbili yameshafanyika huko mkoani.

Wazalishaji wa Tanzania wanaotumia Barcode za nje ya nchi wanaaswa kubadilisha na kutumia Barcode(alama za uzalishaji) za hapa nchini kwani itasaidia::

  • Kupunguza matumizi ya fedha za kigeni ambazo zingetumika kulipia huduma hiyo.
  • Kutupa takwimu rasmi za wazalishaji kwani kutumia barcode za nje ya nchi bidhaa inaonekana imetoka kwenye nchi nyingine na sio Tanzania.
  • Kuwepo kwa utambulisho kwa bidhaa za Tanzania kwani nambari tatu za mwanzo za Barcode zinaonyesha bidhaa zinatoka nchi gani, ambapo kwa bidhaa za Tanzania utambulisho wetu ni 620.
  • Mwisho ni suala zima la uzalendo, tujivunie cha kwetu.

Kuna wazalishaji wa Tanzania 13 tu ambao wamechukua alama za uzalishaji (barcode), sio tu wameonesha uzalendo bali wameendana na matakwa ya masoko yaliyo rasmi ya ndani na nje ya nchi. Huduma hii kama umekamilisha matakwa yote unaipata ndani ya siku moja tu.

GS1 Tanzania inahudumia nchi zaidi ya tano ambazo hazina huduma hii nazo ni Rwanda, Burundi, Uganda, Zambia, Malawi na Mozambique.

GSM 1 Tz-3

 

 

Mwenyekiti wa bodi GS1 Tanzania Dr. Gedion Mazara alifungua kikao kwa kuelezea kuhusu alama za utambulisho (barcode) na umuhimu wake.

GSM 1 Tz-30

GSM 1 Tz-33

GSM 1 Tz-38

Mkurugenzi mkuu wa GS1 Tanzania pia aliongelea ni jinsi gani wazalishaji wakipata na kutumia barcode/alama za uzalishaji itasaidia sana nchi

GSM 1 Tz-45

GSM 1 Tz-46

Mkurugenzi mkuu wa TBS(Shirika la viwango Tanzania) ,Mr. Joseph Masikitiko

GSM 1 Tz-47

Mgeni rasmi alikuwa Mkurugenzi wa Uhamishaji Biashara na Masoko wa Wizara ya Viwanda na Biashara Odilo Majengo

GSM 1 Tz-72

GSM 1 Tz-74

Wajumbe wa bodi ya GS1 Tanzania na wa TBS

 

GSM 1 Tz-34

GSM 1 Tz-35

GSM 1 Tz-36

GSM 1 Tz-40

GSM 1 Tz-42

GSM 1 Tz-43

Kuanzia kushoto Mkurugenzi mkuu wa TIRDO Prof. Madundo Mtambo, Mwenyekiti wa bodi GS1 Tanzania Dr. Gedion Mazara & Muwakilishi wa mgeni rasmi Odilo Mjengo

GSM 1 Tz-73

Baadhi ya wazalishaji waliofanikisha kuchukua alama za utambuzi wa bidhaa za barcode wakipokea membership license/certificate.

 

GSM 1 Tz-52

Ephraim Mafuru Mkurugenzi wa Masoko Kilombero Sugar company

GSM 1 Tz-53

GSM 1 Tz-54

Shamim Mwasha aliwakilisha Lavy Beauty company limited ya mwanamitindo Flaviana Matata ambayo imepata Barcode ya Rangi zake za kucha za lavy Nail Polish.

GSM 1 Tz-56

GSM 1 Tz-57

GSM 1 Tz-58

GSM 1 Tz-61

GSM 1 Tz-62

GSM 1 Tz-64

Mkurugenzi wa GS1 Tanzania Fatma Kange akisaini mkataba na mkurugenzi wa TBS Joseph Masikitiko

GSM 1 Tz-65

GSM 1 Tz-66

 

Wakiwa wameshasaini mkataba.

GSM 1 Tz-69

GSM 1 Tz-71

GSM 1 Tz-77

Board Members wa GS1 katika picha ya pamoja

GSM 1 Tz-80

Board Members wa tbs

GSM 1 Tz-82

GSM 1 Tz-88

Wafanyakazi wa GS1 Tanzania

GSM 1 Tz-94

 

 

 
Leave a comment

Posted by on April 22, 2016 in Business News, Tanzania News

 

Tags: , , , ,

KIJANA YUNUS MTOPA AONDOKA NA KITITA CHA DOLA ELFU TANO ZA STATOIL TANZANIA

Mshindi wa Shindano la Mashujaa wa Kesho lilihusisha vijana wenye umri kati ya miaka 18 na 25 kutoka mikoa ya Mtwara na Lindi, Yunus Omary Mtopa, akionekana ni mwenye furaha sana baada ya kujinyakulia kitita cha dola elfu 5, kwa kuonekana wazo lake la Biashara ya Miwa kuwa bora zaidi ya wenzake. Hafla ya shindano hilo ilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita, katika Hoteli ya Hyatt Regency, Jijini Dar es salaam.
 
Mwaka huu shindano hili lilivutia vijana zaidi ya 400 ambao waliwasilisha mawazo ya biashara zao zinazolenga sekta mbalimbali za uchumi kama kilimo, ufugaji, mawasiliano, na biashara nyingine ndogondogo. Vijana waliruhusiwa kushiriki mmoja mmoja au hata kuunda vikundi vya watu wawili mpaka watatu.
Jaji Mkuu katika Shindano la Mashujaa wa Kesho lilihusisha vijana wenye umri kati ya miaka 18 na 25 kutoka mikoa ya Mtwara na Lindi, Dkt. Neema Muro, akitoa maelezo mafupi ya washiriki wa shindano hilo kabla ya kumtangaza mshindi.
Sehemu ya Wageni mbali mbali waliohudhulia hafla hiyo, wakiwa makini kumsikiliza jina la Mshindi wa Shindano la Mashujaa wa Kesho lilihusisha vijana wenye umri kati ya miaka 18 na 25 kutoka mikoa ya Mtwara na Lindi, katika hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita, katika Hoteli ya Hyatt Regency, Jijini Dar es salaam.
Mgeni rasmi katika Hafla ya kumtangaza Mshindi wa Shindano la Mashujaa wa Kesho lilihusisha vijana wenye umri kati ya miaka 18 na 25 kutoka mikoa ya Mtwara na Lindi, Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bengi Issa, akikabidhi mfano wa hundi kwa Mshindi wa Shindano hilo, Yunus Omary Mtopa.
Mgeni rasmi katika Hafla ya kumtangaza Mshindi wa Shindano la Mashujaa wa Kesho lilihusisha vijana wenye umri kati ya miaka 18 na 25 kutoka mikoa ya Mtwara na Lindi, Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bengi Issa (wa nne kulia), Balozi wa Norway nchini Tanzania, Hanna-Marie Kaarstad (wa pili kushoto), Meneja Mkazi wa Kampuni ya Statoil Tanzania, Øystein Michelsen (shoto) wakiwa katika picha na washiriki wa shindano hilo.
 
Leave a comment

Posted by on April 19, 2016 in General Knowledge

 

Tags: , , , ,

Treasury bonds oversubscribed‏

HIGH demand from investors greeted the second 10-year treasury bonds attracting bids almost two times the amount offered to the market for bidding, thus ending up the
show overly subscribed.

The first 10-year treasury bonds auctioned on February, this year, attracted few bids
from investors ending the show under subscribed.

Funds raised from the sale of the long-term debt government securities are targeted to finance development projects like road and railway infrastructures that are necessary cutting down cost of transport.

Some of the key investors in government securities include pension funds, insurance firms, some microfinance companies and few commercial banks.

The second 10-year treasury bonds was auctioned last week and is expected to mature in
April 2026. It attracted bids 105.14/- compared to 49.20/- offered for bidding.

The Bank of Tanzania (BoT) auction summary shows, however, that the government retained only 21.70bn/- which is far below even the amount sought to be raised.

The weighted average yield to maturity increased slightly to 18.84 per cent compared to
18.82 per cent of the session held in February, this year.

The weighted average coupon yield also made slight increase to 17.03 per cent
compared to 17.00 per cent of the previous session.

The weighted average price for successful bids declined to 67.14 compared to 67.26.

Only seven bids that were received out of 75 emerged successful. The highest bid offered at the auction was 69.36 while the lowest is 57.50; the minimum successful bid/100 was 67.01.

 

Tags: , , , , , , ,

Acacia Mining to pay $20m in corporate tax in 2016‏

ACACIA Mining PLC is to pre-pay 20 million US dollars in corporate taxes this year after signing a Memorandum of Understanding with the Tanzania Revenue Authority (TRA) last month in Dar es Salaam.

According to the Acacia’s CEO, Bradley Gordon, this proactive move was initiated by Acacia Mining PLC in recognition of the time the company has been operating in the country.

Acacia Mining, which entered the Tanzania mining sector as Barrick and later as African Barrick Gold 15 years ago has been making profit, according to Mr Gordon, in his internal communication to Acacia staff at the weekend.

However, much as the company has in most cases declared net profit across the mines it owns the fact of the matter is it has not yet recouped the USD 3.8bn it has invested into building and developing the three mines it owns.

Under Tanzanian mining law and the terms of the Mineral Development Agreements between Acacia Mining PLC and the government any profit made is used to offset the initial investment and therefore during that period the company is not required to pay any corporate tax.

Mr Gordon says in elaborating the issue of profit that “when running a business one needs to first exclude all costs from your income before you can declare a profit – the cost in this case is the initial capital cost that has been invested to develop the mines”.

“Whilst we make net profits, these are not taxable and our current projections are we aren’t due to pay corporate taxes until 2018”, he says.

According to Mr Gordon, the fact that the MOU between Acacia and TRA has been signed and has been recognised as a pre-payment by all parties makes it clear that in the TRA’s opinion, no corporate tax is currently owed by Acacia and therefore none has been evaded.

In its recent ruling, the Tax Revenues Appeals Tribunal (TRAR) accused the gold mining giant of running a sophisticated tax evasion scheme in the country.

Acacia has since appealed to the Court of Appeal against the ruling asserting that the company’s financial reports conformed to international best practices and were audited by global accounting firms and government organisations.

 

Tags: , , , , ,

STATOIL YATAJA VIJANA WATANO WALIOINGIA TANO BORA YA SHINDANO LA MASHUJAA WA KESHO

Kampuni ya Statoil Tanzania ina furaha kutangaza majina ya vijana watano waliongia fainali za shindano la biashara la mashujaa wa kesho ambalo lina dhumuni la kuhamasisha ujasiriamali kwa mikoa ya kusini mwa Tanzania yaani Mtwara na Lindi.

Akitoa taarifa hii meneja wa shindano hilo kutoka Statoil, Erick Mchome amewataja washindi hao kuwa ni Razaki Kaondo, Edward Timamu and Sifael Nkiliye (walioshiriki kama timu moja), Saleh Rashid Kisunga, Azizi Doa, and Yunus Mtopa.

Shindano la Mashujaa wa Kesho lilihusisha vijana wenye umri kati ya miaka 18 na 25 kutoka mikoa ya Mtwara na Lindi kuwasilisha mawazo yao ya biashara ambayo baadae yalibadilishwa na kuwekwa kwenye andiko la biashara.

Mwaka huu shindano hili lilivutia vijana zaidi ya 400 ambao waliwasilisha mawazo ya biashara zao zinazolenga sekta mbalimbali za uchumi kama kilimo, ufugaji, mawasiliano, na biashara nyingine ndogondogo. Vijana waliruhusiwa kushiriki mmoja mmoja au hata kuunda vikundi vya watu wawili mpaka watatu.

Mwazo bora yaliyopatikana kati ya 400 yalikuwa 60 na wamiliki wa mawazo hayo ambao ni zaidi ya vijana 80 kutoka Lindi na Mtwara walipewa mafunzo maalum ya kuandaa andiko la biashara ambapo yalishindanishwa tena na kupatikana vijana kumi bora waliopelekwa mbele ya majaji ambao wiki hii walichagua maandiko matano bora kati ya kumi waliyopokea.

IMG-20160411-WA0001

“Vijana hawa watano watawasili jijini Dar es Salaam wiki ijayo ili kuja kutetea maandiko yao ya biashara mbele ya jopo la majaji ambao mwisho wake wataamua nani anafaa kuwa mshindi wa shindano letu,” alisema Bwana Mchome.

Mshindi wa shindano hili atatangazwa siku ya Ijumaa tarehe 15 Aprili jijini Dar es Salaam katika hafla maalum iliyoandaliwa na Statoil ili kumpongeza mshindi huyo na wenzake wanne ambao wamefanikiwa kuingia fainali. Mshindi huyo atajinyakulia kitita cha dola za kimarekani 5,000 wakati washindi wanne waliobakia watapata dola 1,500 kila mmoja. Washindi wengine watano waliofanikiwa kuingia kumi bora watapata dola 1,000.

“Statoil inaamini katika kuwawezesha vijana wenye vipaji katika maeneo yote ambayo tunafanya shughuli zetu na kwa kufanya hivi tunachochea maendeleo katika maeneo hayo ambayo nasi ni sehemu yake kwani tunafanya shughuli zetu za uendelezaji wa nishati kama gesi na mafuta.,” amesema Meneja Mkazi wa Statoil Tanzania, Øystein Michelsen.

 
Leave a comment

Posted by on April 12, 2016 in General Knowledge, Tanzania News

 

Tags: , ,

Financing Agriculture not risky

LENDING to agriculture is no longer a risky undertaking, the Private Agricultural Sector Support (PASS), which has recovered over 95 per cent of its guaranteed credits to the sector, affirmed in Dar es Salaam yesterday.
PASS

The TADB Executive Director Mr. Thomasi Samkyi (Left) and PASS Director General Mr. Nicomed Bohay (Right) Picture by: Issa Michuzi Blog

“The common perception that agriculture sector is not credit worthy is a myth,” PASS Managing Director Nicomed Bohay said, dismissing as unfounded the lame excuses of denying funding to agriculture on the pretext that the sector is highly risky.

He said the trust that operates as service provider between agriculture and financial sectors has so far guaranteed 314bn/- loans to agriculture, with 95 per cent of the amount recovered.

Mr Bohay, speaking at the signing of the guarantee facility agreement between PASS and Tanzania Agricultural Development Bank (TADB), invited more Tanzanians to explore business opportunities in agriculture to qualify for the affordable funding under the arrangement.

“All the commercial banks, which we work with haven’t been able to exhaust the financial resources available,” said Mr Bohay, hinting that the PASS managed Credit Guarantee Fund remains underutilised by 75 per cent.

TADB and PASS have under the agreement embarked on the promotion of lending to agriculture through risk mitigation, focusing on smallholder peasants, medium and large scale farmers as well as other stakeholders in the agricultural value chains.

TADB Managing Director, Thomas Samkyi said his bank was determined to work with low fee charging guarantee partners like PASS, saying high costs of agriculture production requires cheap funding, “If the guarantees costs are high, the overall financing cost increases, making it difficult to repay the loans.”

Mr Samkyi said the bank’s focus to youth agriculture enterprises require guarantees as majority of the youth lack the required collateral at their first engagement in agriculture activities.

Eligible beneficiaries of the Credit Guarantees, the bank boss said, will be farmers and other entrepreneurs in the agriculture value chains–agricultural producers, agro-processors, storage facility constructors, irrigation technology providers and other agriculture infrastructure developers.

Mr Samkyi said the bank whose key objective is to catalyse investments in the agricultural sector envisages to issue loans of at least 60bn/- to over 100,000 small peasants, 10 youth enterprises and one big farmer this year at an interest rate of between seven and 12 per cent.

“TADB invites farmers and other players to access the credit facilities for agricultural development projects in the priority value chains under this guarantee arrangement,” said Mr Samkyi, reaffirming his bank’s tenacity to work with other strategic partners to promote interventions aimed at transforming the agricultural sector.

TADB becomes the 10th bank to partner with PASS, which is already working with CRDB Bank, Amana Bank, Akiba Commercial Bank, Exim Bank, TIB Bank, FBME Bank, National Microfinance Bank, ACB Bank and BOA Bank.

Tanzania and Danish governments founded PASS under DANIDA funding in 2000. It operated as a project under the Agricultural Sector Programme Support until 2007 when it was registered as a trust, not for profit organisation, to help commercialisation of subsistence farming.

The trust invested 56bn/- in agriculture last year alone, in support of crop production, input supply, irrigation, tractor purchases, agro-processing, crop trading and transportation.

 

 
Leave a comment

Posted by on April 5, 2016 in Business News

 

Tags: , , , ,

Buzz word: Money Laundering

What is ‘Money Laundering’

Money laundering is the process of creating the appearance that large amounts of money obtained from serious crimes, such as drug trafficking or terrorist activity, originated from a legitimate source.

Money Laundering Scheme

Money Laundering Cycle Source: http://www.unodc.org

There are three steps involved in the process of laundering money: placement, layering, and integration. Placement refers to the act of introducing “dirty money” (money obtained through illegitimate, criminal means) into the financial system in some way; “layering” is the act of concealing the source of that money by way of a series of complex transactions and bookkeeping gymnastics; and integration refers to the act of acquiring that money in purportedly legitimate means.

One of the more common ways that laundering takes place is when a criminal organization funnels their illegally obtained cash through a cash-based business, slightly inflating the daily take. These organizations are often referred to as “fronts.” In the popular television series “Breaking Bad,” the methamphetamine dealer funnels his earnings from selling illicit drugs through a series of car-wash businesses.

Other common forms of money laundering include smurfing (A smurf is a colloquial term for a money launderer. Also refers to one who seeks to evade scrutiny from government agencies by breaking up a transaction involving a large amount of money into smaller transactions that are below the reporting threshold. The term is derived from the cartoon characters known as The Smurfs) , where a person breaks up large chunks of cash and deposits them over an extended period of time in a financial institution, or simply smuggles large amounts of cash across boarders to deposit them in offshore accounts where money laundering enforcement is less strict.

 

 

Tags: , , , , ,

SHINDANO LA MASHUJAA WA KESHO‏ WA STATOIL

Majina kumi ya mwanzo wanao wania kinyang`anyiro cha kumsaka kijana mwenye wazo
zuri la kibiashara na atimae mchanganuo wa biashara Heroes Of Tomorrow Business
Competition yametajwa jana na maneja wa shindano hilo bw. Erick Mchome, kwenye
barua ya mwaandishi iliyotolewa na meneja wa Staitoil nchini Bw. Qystein Michelsen.
Heroes of tomorrow ama Mashujaa wa kesho ni shindano linaloendeshwa na kampuni ya
mafuta na gesi kutoka Norway hapa nchini kwa lengo la kuinua uchumi wa nchi ya
Tanzania kwa kutafuta vijana wenye umri wa miaka 18 hadi 25 ambao watakuwa na
mawazo mazuri ya biashara ili kuwasaidia katika ndoto zao hizo kwa kufanya kuwa kweli.
“Shindono linalenga vijana kutoa mawazo yao ya kibiashara amabayo baadae yatafanywa
kuwa biashara” alisema meneja wa shindano hilo Bw. Mchome
Shindano hilo limeanza na vijana wa Lindi na Mtwara ambapo vijana 400 walijitokeza
kushiriki wakilenga maswala ya kilimo, ufugaji, IT, viwanda vidogodogo na maswala
mengine yanayohusiana na biashara ambapo baadhi walijikusanya kama kikundi na
wengine mmoja mmoja. 40 bora walichaguliwa kushiriki katika mafunzo ya ujasilia mali
yaliyo lenga kukuza na kuendeleza biashara ili ziwe na mafanikio ambapo katika hilo kumi
bora walichanguliwa.
Walio chagulia kumi bora ni Razaki Kaondo, Nyenje Chikambo, Edward Timamu, Saleh
Rashid Kisunga, Azizi Doa, Sifael Nkiliye, Said Selemani, Yunus Mtopa, Yahay Omari,
Kastus Kambona na Abdalah Selega. Hata hivyo mchakato bado unaendelea kwani kumi
hawa watachuana vikali kwa kuleta michanganua yao ya biashara ambayo itafanyiwa
tasmini na baraza la Jury ili kuwapata tano bora na atimae mshindi.
“Tano bora watatetea michanganuo yao ya biashara mbele ya baraza la Jury” alisema Bw.
Mchome ikiwa ni sehemu ya kumtafuta mshindi wa shindano hilo.
Mshindi atapatikana tarehe 15 April jijini Dar es salaam, atazawadiwa dola za kimarekani
5000 wanne walio ingia tano bora kila mmoja wao atajipatia dola 1500 na waliofanikiwa
kuingia kumi bora kila mmoja wao atapata dola 1000
STAT WINNER
HAWA NDO KUMI BORA
3
8

1

2

 

4

7

 
Leave a comment

Posted by on March 23, 2016 in General Knowledge

 

Tags: , , , ,

MFUMUKO WA BEI WA TAIFA WA MWEZI FEBRUARI, 2016 WAPUNGUA KWA ASILIMIA 1

OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema mfumuko wa bei katika Februari mwaka huu umepungua mpaka kufikia asilimia 5.6 kutoka asilimia 6.5 ya mwezi Januari.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana mchana, Mkurugezi wa Sensa za Jamii, Ephraim Kwesigabo alisema kasi ya upunguaji wa bei za bidhaa na huduma kwa mwaka huu kumechangiwa na kupungua kwa bei za baadhi za vyakula na bidhaa zisiyakula kwa kipindi kilichoishia cha Februlia, 20 ikilinganishwa na bei za Februari mwaka 2015.

Alisema kuwa mfumuko wa bidhaa za vyakula na vinjwaji baridi kwa Februari mwaka huu umepungua kwa asilimia 10.3, mafuta ya dezeli kwa asilimia 4.5 na matunda kwa asilimia 7.2.

Kwesigabo alisema pamoja na kupungua kwa kasi ya upandaji wa bei za bidhaa na huduma kuna baadhi ya bidhaa zinaonyesha kuongezeka katika hicho ni pamoja na Sukari kwa asilimia 7.1, Mkaa asilimia 4.3, Mchele kwa asilimia 22.9 na viazi 16.3.

Aidha alisema hali ya mfumuko wa bei katika nchi za jilani unaelekea kufanana na nchi za afrika mashariki ambapo Kenya umepungua hadi asilimia 6.84 kutoka asilimi7.78 mwaka huu, Uganda umeongezeka kwa asilimia 7.7 kutoka asilimia 7.6 kwa mwezi Januari mwaka huu.

 Mkurugenzi wa Takwimu za Sensa na Jamii Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Ephraim Kwesigabo (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo mchana, kuhusu mfumuko wa bei wa taifa wa mwezi Februari, 2016. Kulia ni Meneja Idara ya Ajira na Bei, Ruth Minja.
 Mkutano na wanahabari ukiendelea.

 

 
Leave a comment

Posted by on March 9, 2016 in Business News, Tanzania News

 

Salam zangu za siku ya Wanawake Duniani

Salam zangu za siku ya Wanawake Duniani

Ninawatakia wanawake wenzangu‎ Ulimwenguni kote, Heri ya Siku ya Mwakamke

a7caeb96fbdcd21385508290de4f359f“Wanawake Tunapashwa Kuona Jinsia yetu kama rasilimali na sio Dhima”. ( Women should view their gender as a resource rather than a liability) – MJ

Ningependa kutumia fursa hii kama Dada, Mke, Mama, mfanyakazi, Mwanaharakati na mjasiliamali kuwapongeza wanawake wote kwa kuadhimisha siku hii muhimu ya kuwaenzi wanawake wote ulimwenguni.

historia ya Maisha yangu, ni kielelezo cha maisha ya wanawake wengi ulimwenguni wanaopitia changamoto mbalimbali.‎ Nililelewa katika mazingira kandamizi ya Jinsia ya kike-kwenye jamii ambayo mtoto wa kiume alipewa nafasi ya kipekee katika masuala mbalimbali dhidi ya mtoto wa kike…Kwa mfano kipaumbele cha kupata elimu walipewa watoto wa kiume wakati watoto wa kike wakitarajiwa kushughulika na kazi za nyumbani, kupika,kuchota maji na kusaidia shughuli za kilimo na hatimaye kuolewa. Bibi yangu (Apumzike kwa Amani) alikuwa mhanga wa mfumo huo kandamizi.

Kwa taabu alizopita Bibi yangu alijiwekea nadhiri kwamba Mjuu wake, hatopitia shida alizopitia yeye…na hivyo siku zote alikuwa akiniasa kwamba “Niyu (jina langu la nyumbani),Unaweza kila kitu kinachofanywa na mtoto wa Kiume”. Aliniimarisha kifikra na kiakili. Na siku zote alikuwa na msemo wake “Niyu Kasome, Ukasome umshinde Babu yako, Usije kuwa unanyanyasika kama sisi”- ushauri wake ndio ulikuwa dira yangu ya maisha ambapo nilisoma kwa bidii na kufanikiwa kuhitimu shahada ya uzamili katika masuala ya fedha kutoka Chuo Kikuu cha Strathclyde cha Uingereza. Hadi hivi leo, sauti ya Bibi haijakoma masikioni mwangu, sijaacha kutafuta elimu na maarifa ya masuala mbalimbali yanayohusu maendeleo katika jamii…ni kwa sababu hiyo nilipata mafunzo ya muda mfupi ya uongozi na majadiliano kutoka Chuo kikuu cha Harvard cha nchini Marekani. Nitaendelea kuitafuta Elimu na pia kusaidia wenzangu, sababu naamini moja ya njia ya Mwanamke kujikomboa katika ukandamizaji wa kijinsia ni kuongeza kiwango cha elimu kwake mwenyewe na kwa wanawake wenzake.

Waswahili wana msemo usemao maisha ni shule…..msemo huu nimeuishi katika maisha yangu ya baada ya masomo. Nimefanya kazi katika mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali na sekta binafsi. nimefanya kazi na taasisi ya ISHI iliyokuwa inashughulikia masuala ya Ukimwi, baada ya hapo nimefanya pia katika kampuni‎ ya Philips Medical Systems ya Uholanzi na baadaye nimefanya kazi kampuni ya mawasiliano ya Maktech. Kwote nilipopita nimekumbana na changamoto mbalimbali zilizohusiana na jinsia yangu. Utekelezaji wa majukumu yangu ulinilazimu kuwa na mikutano na watu mbalimbali Serikalini na kwenye taasisi za fedha ambapo watu niliokuwa nakutana nao ni wanaume ambao baadhi yao wamekuwa na mawazo ya mfumo dume yaliyojaa dharau na manyanyaso. Wengine kwenye fikra zao wanadhani mwanamke yeyote mwenye mafanikio, iwe kwenye biashara, siasa, ajira, lazima anabebwa na wanaume.‎ Wakiona mwanamke amefanikiwa tu, utasikia..huyu ‘hawala wa fulani’. hii ni dhana potofu na inayolenga kumdhalilisha na kumnyanyasa mwanamke.

Mimi binafsi sikukubali kuyumbishwa na watu wenye mawazo ya aina hiyo. Kila nilipokumbana na changamoto za aina hiyo nilipata hamasa ya kufanya kazi kwa bidii zaidi na kuwadhihirishia kwamba NINAWEZA, ilee sauti ya bibi ndio ilikuwa ikinitia hamasa zaidi na zaidi na hatimaye kuniwezesha kufanya vizuri hadi kufikia kuaminiwa kupewa majukumu makubwa zaidi kama vile Mkurugenzi Mkuu katika kampuni ya Mokasi Medical Systems ambayo ni wakala wa kampuni ya Philips ya Uholanzi. Hasama hiyo iliniwezesha pia kuanzisha kampuni yangu inayotoa Huduma za kifedha – Monfinance Investment Group Ltd. Mbali na shughuli hizo nimeweza pia kuchaguliwa kuwa mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya FINCA Microfinance Tanzania.

Kwa ujumla siku zote za maisha yangu nimejihusisha na harakati za kupigania haki za wenye shida na mahitaji katika jamii kutokana na msingi niliojengewa na bibi yangu wa kukataa unyonge na kusaidia wanyonge. Hurka hiyo ndio ilipelekea ajira yangu ya kwanza kuwa kwenye taasisi ya uhamasishaji wa masuala ya ukimwi ya ISHI. Niliguswa kujihusisha na kampeni hizo kwasababu binafsi nimepoteza ndugu, jamaa na marafiki kutokana na ugonjwa huo. Mbali na ISHI,nimekuwa nikijihusisha na kampeni ya kuzuia mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) iitwayo IMETOSHA. Ni jambo la udhalilishaji uliopitiliza kuwakata binadamu wenzetu viongo vyao kwa imani za kishirikina. Pia nimeshiriki kwenye uhamasishaji wa magonjwa yasiyojulikana (Rare diseases).‎

Tunaposherehekea siku ya Mwanamke duniani rai yangu kwa wanawake wenzangu, tushirikiane, tusaidiane, tupeane moyo na tuwezeshana ili tufikie lengo letu la usawa  50/50 kufikia mwaka 2030. Kila mwanamke atimize wajibu wake kwa kujitambua na kuhakikisha haki yake hainyongwi.

‎‎Mimi nimejitambua, ninasimamia haki yangu, na wala siipiganii, ni yangu, Jinsia yangu hainitofautishi kiutendaji na jinsia ya kiume. Ninachoangalia ni Mchango wangu katika maendeleo ya Uchumi, jamii na familia na sio Jinsia yangu.

Ninachotambua katika jinsia yangu ni kuwa mimi ni Dada, Mama, rafiki, na Mke. Mengine yote,nipo sawa na wote, wanaume na wanawake.‎

Happy Women’s Day 2016.

Monica Joseph

 

 
2 Comments

Posted by on March 8, 2016 in Articles, Business News

 

Tags: , , , , , ,

Women empowerment strategies‏

HE government has pledged to work closely with stakeholders in the private sector to realise initiatives aimed at empowering women.
Stella Manyanya

Deputy Minister for Education, Science, Technology and Vocational Training Eng Stella Manyanya said in Dar es Salaam yesterday at an event to mark the commemoration of CRDB Bank International Women Day that the government recognises bank’s efforts to support women empowerment programmes.

During the event, CRDB Bank donated 20m/- to the Tanzania Education Authority (TEA) for the construction of girls’ dormitories across the country, an initiative seen to create conducive learning environment in a bid to promote the quality of education.

“Through its various products and services CRDB Bank has been playing the fundamental role in empowering and realising women dreams in life,” she said and urged other institutions to emulate the bank’s example.

Eng Manyanya said the International Women’s Day is an opportunity to look at how far all the stakeholders have come in delivering gender equality.

It is also a chance to consider the best ways to continue toward true parity the 2016 theme call upon on How to Pledge for Parity in the workplace, she said.

She challenged women to make effective use of the opportunities from financial services to access loans to start and expand their businesses to contribute to economic growth.

On her part, the CRDB Bank Deputy Managing Director Ms Esther Kitoka said in recognition of the CRDB Bank’s International Women Day, some counters will be set aside in all its branches to serve women only.

She said promoting gender balance and equality is given top priority with women employed by the CRDB Bank constituting 44 per cent of the total number of employees. The bank is a home for more than two million employees.

“Women should make use of the Women Access to Finance Initiative (WAFI) and MALKIA account to access various financial products and services in order to realise their dreams in life,” she said.

 
 

Tags: , , , , ,

DR. Hamisi Kigwangala (MOHSW) Aongoza Matembezi ya “KUTOA AHADI YA UWIANO SAWA WA KIJINSIA”

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee naWatoto, Mh. Hamisi Kigwangala akijiandaa kuanza matembezi ya shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi  yaliyofanyika jijini Dar es Salaam mapema leo . Matembezi hayo yaliyoandaliwa na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) yenye kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee naWatoto, Mh. Hamisi Kigwangala akiwa sambamba na washiriki wa matembezi ya shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi  yaliyofanyika jijini Dar es Salaam mapema leo . Matembezi hayo yaliyoandaliwa na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) yenye kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia.
Mwenyekiti wa Tanzania Women of Achievement , Sadaka Gandi akiongea na washiriki wa matembezi ya shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi  yaliyofanyika jijini Dar es Salaam mapema leo . Matembezi hayo yaliyoandaliwa na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) yenye kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia.
 
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee naWatoto, Mh. Hamisi Kigwangala akiongea na washiriki wa matembezi ya shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi  yaliyofanyika jijini Dar es Salaam mapema leo . Matembezi hayo yaliyoandaliwa na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) yenye kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee naWatoto, Mh. Hamisi Kigwangala akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya washirikimatembezi ya shamrashamra za kuelekea  siku ya wanawake dunia Tarehe 8 Machi  yaliyofanyika jijini Dar es Salaam mapema leo . Matembezi hayo yaliyoandaliwa na  Taasisi ya Tanzania women of Achievement(TWA) yenye kauli mbiu ya Kutoa uwiano sawa kijinsia.
 
 
 
 
 
1 Comment

Posted by on March 8, 2016 in General Knowledge

 

Tags: , , , , ,

SkyPalm Travel and Tour Ltd yazinduliwa.‏

BALOZI wa Uturuki nchini Yesemin Eralp amezindua kampuni mpya ya huduma za tiketi za ndege pamoja na Utalii ya SkyPalm Travel and Tour Ltd.

sky palms launch-153
Tukio hilo lilitokea jumamosi hii hapa jijini ambapo balozi huyo alitoa wito kwa wawekezaji zaidi kujitokeza kuwekeza kwenye sekta hiyo.

sky palms launch-51

sky palms launch-147
Alisema kuwa Tanzania imekuwa ikifanya vema kwenye sekta ya utalii huku ikiwa na vivutio vingi vya utalii vinavyovutia zaidi na kuwavutia watalii kutokea nchi mbalimbali.
Aliongeza kuwa wageni kutokea nchi mbalimbali duniani wanahitaji huduma kutokea kwa kampuni bora zaidi itakayowahudumia kwa ufanisi na umakini.

sky palms launch-122
Kwa upande wake Mkuu wa Biashara wa kampuni hiyo Meysun Buyuksarac alisema kuwa kampuni hiyo imelenga kuimarisha utoaji bora wa huduma za usafiri wa ndege pamoja na utalii nchini.

sky palms launch-146
Alisema kuwa Tanzania inazo fursa nyingi za utalii ambapo zimekuwa zikipelekea wageni wengi kujitokeza kuja nchini kutalii, na hivyo kupekekea wageni kutokea nje ya kuja kwa wingi na wao kama kampuni wamejipanga kutoa huduma bora zaidi ili kukidhi uhitaji.

 Picha Kwa Hisani ya: 8020 Fashion BLOG

 
Leave a comment

Posted by on March 8, 2016 in General Knowledge

 

Tags:

TIC hailed for being shining example in Africa‏

TANZANIA Investment Centre (TIC) has been hailed for promoting investment in industries leading to development of a diversified and robust manufacturing sector.

SADC Investment Promotion Agency officers, who were in the country last week commended the investment centre for particularly promoting investments in industries that use modern technology to boost productivity.

In their visit to Serengeti Breweries Limited and Bakhresa after their two-day meeting, the officers said Tanzania had made important strides in attracting investments which use modern technology in food and beverage sectors which has made Tanzania as an exemplary country in sub-saharan Africa.

At Serengeti they saw modern production technology in brewing process where the General Manager, Helen Weesie, said Serengeti focused on quality and safety.

Serengeti Breweries Ltd (SBL) operates exclusively in Tanzania and is the 2nd largest beer company with a market share of about 25 per cent.

At Bakhresa industries, they were amused with the state-of-the-art of the factories in food and beverages and some were heard complaining why did the local investor, Said Salim Bakhersa choose to invest in a few countries only after they were told it had opened investmements in Malawi, Zambia, Rwanda and DR Congo.

They said such a successful investor, should be encouraged to invest in all SADC region.

Chief Executive Officer of Bakhresa industries, Mr Salim Aziz, hailed TIC for facilitating establishment of Bakhresa industries through investment incentives which have enabled Bakhresa investments in industries to become a success story.

TIC Investment Promotion Officer, Ms Lilian Mwamdanga, said the objective of the tour was to show SADC officials what Tanzania has accomplished so that they can learn and exchange experience.

She said it would reach time where TIC officials would travel to other SADC member countries to learn about their experiences in promotion of investments.

The Deputy Director for Industries in the Ministry of Industry and Trade, Dr John Mboya, said the two-day meeting was successful where SADC member states were so much attracted by investment promotion by TIC.

Tanzania is among top earners of foreign direct investments in the sub-Saharan Africa.

https://login.skype.com/login/silent?response_type=postmessage&client_id=580081&redirect_uri=https%3A%2F%2Fdub121.mail.live.com%2Fdefault.aspx&state=silentloginsdk_1457334616244&_accept=1.0&_nc=1457334616244&partner=999

 
Leave a comment

Posted by on March 7, 2016 in Business News, Tanzania News

 

Tags: , , ,

Benki ya Afrika (BOA BANK) Yawajengea Uwezo Wafanyabiashara wa Zanzibar Kutengeneza Mpango wa Kujenga na Kuboresha Biashara Zao.‏

Mkufunzi wa Warsha ya ilioandaliwa na Bank of Africa Erick Chrispin akitowa Mada wakati wa Warsha hiyo iliowajumuisha Wafanyabiashara na Wajasiriamali Zanzibar katika Kuboresha na Kujenga Biashara katika kutengeneza Mpango wa Biashara iliofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar.
 Washirikib wa Warsha hiyo wakifuatilia kwa makini Mada zinazowesilishwa wakati wa Warshi hiyo ilioandaliwa na Bank Of Africa.
 Washiriki wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wakifuatilia Mada zikiwasilishwa 
 Mtoa Mada Ndg Erick Chirispin akisisitiza jambo wakati wa kutoa Mada katika Warsha hiyo. Kuwajengea Uwezo Wafanyabiashara wa Zanzibar katika Kujenga na Kuboresha Biashara katika kutengeneza Mpango wa Biashara.  
 Washiriki wakiwa Ukumbi wa Mkutano wakifuatilia Mada . 

 

Washiriki wakichanjia wakati wa warsha hiyo.
Mshiriki wa Warsha ya kuwajengea Uwezo wa kutengeneza Mpango wa Biashara na Kujenga na Kuboresha Biashara akichangia wakati wa warsha hiyo.
Mtoa Mada Ndg. Erick Chrispin akionesha kitabu chenye mpango wa Biashara wakati wa warsha hiyo kwa Wafanyabiashara wa Zanzibar na Wadau ilioandaliwa na Bank Of Africa katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar.

 

 

 

 

 

 

Washiriki wa Warsha ya Kuwajengea Uwezo Wafanyabiashara Zanzibar katika kuandaa Mpango wa Biashara wakiwa nje ya ukumbi wakibadilishana mawazo wakati wa mapunziko ya mchana.
                        Imeandaliwa na OthmanMapara.Blogspot.com
Zanzinews.com,
 
Leave a comment

Posted by on March 2, 2016 in Business News, Tanzania News

 

Tags: , , , ,

PROGRESS TOWARDS PARITY EVENT

JOIN US ON 7TH OF MARCH FOR THE OCCASION OF INTERNATIONAL WOMENS DAY 2016 (8TH MARCH), 06.30PM-08.30PM AT THE BUNI HUB, COSTECH BUILDING, SAYANSI KIJITONYAMA. DAR ES SALAAM

Women Day Ad

International Women’s Day is celebrated in many countries around the world. It is a day when women are recognized for their achievements without regard to divisions, whether national, ethnic, linguistic, cultural, economic or political. It is an occasion for looking back on past struggles and accomplishments, and more importantly, for looking ahead to the untapped potential and opportunities that await the future generations of women.

The United Nations 2016 theme for International Women’s Day is: “Planet 50-50 by 2030: Step It Up for Gender Equality”

On the eve of the International Women’s Day, March 7th ,  Neghesti Sumari Foundation will be holding a panel discussion under the theme – “PROGRESS TOWARDS PARITY’

I am honored to be one of the four panelist on this panel discussion which will focus on Education, equal opportunities for men and women, and empowerment

Please Join us in the BUNI Hub, at the COSTECH Building Kijitonyama from 06.00PM – 08.00PM

Monica Joseph

IG & Twitter handle  – @monfinance

 

 

 

 
 

Tags: , , , , , ,

WADAU WAAANZA KUJENGA UELEWA KUHUSU SIKU YA MAGONJWA YANAYOTOKEA KWA KUNDI DOGO LA JAMII

Wadau hao wakinyoosha mikono juu kuonesha umuhimu wa kuadhimishwa kwa siku hiyo ya Magonjwa Yanayotokea kwa kundi dogo la jamii ndani ya jamii.

Mratibu wa tukio hilo Bibi Sharifa Mbaraka akizungumza mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye moja ya ukumbi wa hoteli ya Serena leo jijini Dar,Bi.Sharifa alisema kuwa tukio hilo limedhamiria kujumuisha  vyombo vya habari na wadau wengine ili kujenga uelewa kuhusu magonjwa hayo. 
“Yapo magonjwa tofauti yanayowasibu watu wachache takribani 7000 ambayo yameshabainishwa duniani hadi leo na Tanzania haiwezi kujitoa kwenye  hili. Hata hivyo watu wengi hapa Tanzania hawana uelewa  kuhusu magonjwa hayo”,alisema Bi Sharifa ambaye watoto wake wawili Ali Mohammed Kimara 5, na Nasreem Mohammed 3, wanasumbuliwa na magonjwa hayo.
Alifafanua kuwa kutokana na uzoefu wake, amepata msukumo  na kuamua kuwaunganisha wazazi, wagonjwa walio na magonjwa hayo na raia wenye mapenzi mema ili kujenga uelewa muhimu na kutoa wito kwa jamii kuchukua hatua.


Pichani wa pili kulia ni Mdau mkubwa wa sekta ya afya Monica Joseph kutoka Philips Medical Systems , akifafanua zaidi kuhusiana na huadhimishwa kwa Siku ya ‘Rare Disease’ Duniani ambayo inaadhimishwa leo.Monica amesema kuwa ni wakati mwafaka kwa Watanzania kuwa na tahadhari ya kuelewa kuhusu magonjwa hayo ili wanajamii waweze kufahamu mbinu za kuyadhibiti iwapo watayakuta ndani ya jamii. pichani kulia ni Dkt.Mariam Nooram kutoka hospital ya Aghakhan.

 
Kauli mbiu ya Siku ya Magonjwa Yanayotokea kwa kundi dogo la jamii Mwaka 2016 ni ‘Sauti za Wagonjwa’ na inamaanisha kutambua mchango muhimu unatolewa na wagonjwa katika kutaka mahitaji yao na kuchochea mabadiliko ambayo yataboresha maisha yao na masiha ya familia zao na maisha ya wale wanaowahudumia. 
Kauli mbiu ya Siku ya Magonjwa yanayotokea kwa kundi dogo la wanajamii ambayo ni, “Ungana nasi kuzifanya sauti za waathirika zisikike” ikitaka jamii kwa jumla, wale wanaishi bila magonjwa hayo au wanaothirika nayo moja kwa moja kuungana na jamii ya waathirika katika kuelewa athari za magonjwa hayo. Watu wanaoishi na magonjwa hayo na familia zao mara kadhaa hutengwa. Jamii inaweza kuwaunganisha kutoka kwenye kutengwa huko. 

Lengo la jumla la Siku ya Magonjwa yanayotokea kwa kundi dogo la jamii ni kuhamasisha uelewa miongoni wa umma kwa jumla kuhusu magonwa hayo na athari zake kwa maisha ya wagonjwa ili kuyapa kipaumbele kwenye afya ya jamii ya Tanzania na kwenye bajeti ya serikali kupitia Wizara husika.

Professor Kareem Manji kutoka Muhimbili akitoa ufafanuzi mbele ya Waandishi wa Habari namna magonjwa hayo yanavyoisumbua jamii kwa kiasi kikubwa na pia uzoefu wake katika suala zima la kutoa matibabu,kushoto kwake ni Dkt Nurudin Lakhan ambaye pia alielezea namna ya magonjwa hayo  Yanayotokea kwa kundi dogo la jamii yanapaswa kuangaliwa upya ili kuitaka jamii kutambua kuwa magonjwa hayo yapo na yamekuwa yakiisumbua jamii kwa muda mrefu.

Bi.Monica Joseph kutoka Philips Medical Systems  alieleza mambo kadhaaa katika kupambana na magonjwa hayo,ameeleza kuwa ipo haja ya wadau wa sekta ya Afya na jamii kwa ujumla kuyafahamu magonjwa yasiyotambulika yapo katika jamii yetu na lazima tuchukue hatua za kushughulika nayo. Miongoni mwa hatua zinazopaswa kuchukuliwa ni pamoja na:
 
( a) Zifanyike juhudi za makusudi kuwapatia wataalam wa afya mafunzo maalum ya kutambua na kutibia magonjwa hayo,( b) Kuanzisha vitengo maalum vya kushughulikia magonjwa hayo hususan kwenye Hospitali za Rufaa. Vitengo hivyo havinabudi kuwa na vifaa mbalimbali vya kusaidia matibabu ya ugonjwa huo,(c) Uanzishwe mpango maalum wa kuwafanyia uchunguzi watoto wanaozaliwa ili kubaini kama wanao ugonjwa huo toka awali ili hatua zichukuliwe bila kuchelewa,(d) Serikali na wadau wengine wa Sekta ya Afya waangalie uwezekano wa kuwa na kampeni za kuelimisha umma juu ya ugonjwa huu kama inavyofanyika kwa magonjwa mengine kama cancer,malaria,kipindupindu,(e) Uangaliwe uwezekano wa kuanzisha shule maalum kwa ajili ya watoto wenye magonjwa yasiyotambulika.


Baadhi ya wageni waalikwa mbalimbali waliofika kwenye mkutano huo.
Baadhi ya wageni waalikwa wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye mkutano huo.

Baadhi ya Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.PICHA NA MICHUZI JR-MMG

Picha na Habari: MICHUZI MEDIA GROUP

 
Leave a comment

Posted by on February 29, 2016 in General Knowledge, Tanzania News

 

Tags: , , , ,

Central Bank sets 80 pc financial inclusion target

Bank_of_Tanzania_golden_hour
THE Bank of Tanzania (BoT) has set new targets of achieving usage of formal financial services under the National Financial Inclusion Framework (NFIF 2014/17) of having 80 per cent of adult population using a financial access point.

The Monetary Statement of the first half of the 2015/16 fiscal year also shows that BoT is targeting to have at least 70 per cent of the population living within five kilometres of a financial access point by 2017.

The new development follows the country’s outstanding performance in the usage of formal financial services among the un-banked population that surpassed its initial target by 50 per cent of adult population in 2014.

According to the BoT report, the increase in access and usage of formal financial services has been driven mostly by innovation and technology in the financial sector, particularly the use of mobile phones for accessing financial services.

The digital technology has made Tanzania one of the global hot spots of innovative financial services. By the end of December 2015, the number of registered active users of mobile phone financial services was 19 million.

Similarly, the other driving force was the enhancement of legal and regulatory framework for the National Payment Systems achieved with the National Payment Systems Act 2015 that became operational in October 2015.

Subsequently, two regulations were operationalized, namely, the Licensing and Approval Regulations 2015 and the Electronic Money Issuance Regulations 2015.

Furthermore, the Bank has embarked on awareness initiatives to ensure that the stakeholders are complying with the new requirements by the end of April 2016.

The other major development reached was for the Bank embarking on modernization initiatives of High Value Payment Systems (TISS) and improvements on retail payment infrastructures and services.

The Bank is also in the process of operationalizing new NPS regulatory framework following the enactment of the NPS Act 2015 and subsequent Regulations on Electronic Money Issuance regulations (2015) and NPS Licensing and Approval regulations (2015).

 
Leave a comment

Posted by on February 17, 2016 in Business News, Tanzania News

 

Tags: , ,

Lack of women still a hot topic at Davos‏

It’s a strange thing about Davos: Women represented only 18 percent of the actual delegates, but as a topic, women ranked among the top three — right up there with refugees and climate change.

In fact, the topic of gender parity was the third most tweeted, generating a whopping 10,000 tweets. And among the top quotes:

“You’ve heard a lot about the Internet of Things; I think we need an Internet of women,” said
IMF chief Christine Lagarde.

And from Coca-Cola CEO Muhtar Kent: “We need the three W’s: women, water and well-being.”

Why were women such a minority? And more importantly, how can we engage women in ways that really drive growth in our organizations, our communities and our economies?

It’s a topic I’ve kept my pulse on closely since my days in Silicon Valley, where I founded and later sold Women’s Financial Network.

Fast-forward to Davos, and two things come to mind: First, while women haven’t necessarily made huge strides in organizations, as our global When Women Thrive research will reveal on Wednesday (join the launch here), there are companies — and executives — waking up to the fact that women can truly shape their corporate trajectories.

In fact, we kicked off Davos by previewing our global research to be released and a powerful CEO conversation on the very topic: the role of leaders and, in particular, men.

As we’ll share on Wednesday, only 57 percent of leaders globally are engaged in diversity efforts. Worse, only 38 percent of men are engaged, down a full 10 percentage points, from 49 percent in 2014. And yet leadership engagement on a personal level is one of the six pillars of a successful gender strategy — one that drives real business impact.

Our event led to more than 400 registrants — close to three times last year’s — and, more importantly, shined the klieg lights on some powerful and innovative moves some top CEOs are making, from eBay and Cisco to Marriott and UBS.

It’s a strange thing about Davos: Women represented only 18 percent of the actual delegates, but as a topic, women ranked among the top three — right up there with refugees and climate change.

In fact, the topic of gender parity was the third most tweeted, generating a whopping 10,000 tweets.

LaGarde 2

(From L) International Monetary Fund (IMF) Managing Director Christine Lagarde, British Finance Minister George Osborne, Indian Finance Minister Arun Jaitley and Governor of the Bank of Japan, Haruhiko Kuroda shake hands after a session of the World Economic Forum annual meeting on January 23, 2016.

And among the top quotes:

“You’ve heard a lot about the Internet of Things; I think we need an Internet of women,” said
IMF chief Christine Lagarde.

And from Coca-Cola CEO Muhtar Kent: “We need the three W’s: women, water and well-being.”

Why were women such a minority? And more importantly, how can we engage women in ways that really drive growth in our organizations, our communities and our economies?

It’s a topic I’ve kept my pulse on closely since my days in Silicon Valley, where I founded and later sold Women’s Financial Network.

Fast-forward to Davos, and two things come to mind: First, while women haven’t necessarily made huge strides in organizations, as our global When Women Thrive research will reveal on Wednesday (join the launch here), there are companies — and executives — waking up to the fact that women can truly shape their corporate trajectories.

In fact, we kicked off Davos by previewing our global research to be released and a powerful CEO conversation on the very topic: the role of leaders and, in particular, men.

As we’ll share on Wednesday, only 57 percent of leaders globally are engaged in diversity efforts. Worse, only 38 percent of men are engaged, down a full 10 percentage points, from 49 percent in 2014. And yet leadership engagement on a personal level is one of the six pillars of a successful gender strategy — one that drives real business impact.

Our event led to more than 400 registrants — close to three times last year’s — and, more importantly, shined the klieg lights on some powerful and innovative moves some top CEOs are making, from eBay and Cisco to Marriott and UBS.

Real Accountability. Jűrg Zeltner, CEO of UBS Wealth Management, was perhaps the most adamant, saying, “There’s no more excuses.” He doesn’t want to go into a boardroom without women. He’s directly holding his business managers accountable for more women, saying they’ll be fired if he doesn’t see greater numbers.

Three years ago, eBay president and CEO Devin Wenig decided to start publishing its pay equity data to help identify gaps — and that’s led others to be accountable. “The only thing worse than avoiding the issue is talking about it and not doing anything about it,” Wenig said.

Real data. The real strength of any strategy — whether it’s business or even gender — comes from having real data to identify what works and what doesn’t. Cisco CEO Chuck Robbins put it this way: “If we review sales numbers, let’s also review the people numbers.”

He’s invested $2 million-plus specifically on building a data and analytic framework to focus on pay parity. It’s a great example of one of the other pillars of a successful gender strategy: proof.

Rethinking programs. Hanzade Dogan Boyner, a leading figure in Turkey‘s online and digital world, asked at our panel: “Why do women give up at some point? Because it’s very difficult to rise to the CEO level and raise two kids. So we need to change the culture.”

There’s a lot of talk about flexible leave and returnship programs, to name just a few, and their importance to women. But there are a host of issues including the lack of engagement and training of middle managers on how to have conversations with their female workforce that are impacting the ultimate goal of greater representation throughout all career levels.

Wenig of eBay surprised the group by talking about other life events demanding programs to keep women engaged in the workforce like elder care sorely needed by women as they juggle kids and aging parents and their job in the middle. That, he said, is worthy of at least the same attention we pay to maternity/paternity leave programs.

I would have liked to see more women business women in Davos. Their unique skills like flexibility and inclusive team management are more important than ever in today’s complex world.

“Men have a unique opportunity in this, as we still make up 80 percent of the executive ranks and even more than that at the CEO level,” said Julio A. Portalatin, Mercer president and CEO. “We have a unique obligation to be out in front on growing women in the workforce. It’s not a women’s issue. This is a workforce issue.”

 
Leave a comment

Posted by on January 26, 2016 in Business News, International News

 

Tags: , , , , , , ,

Commodity exchange takes off in May‏

Commodity exchange takes off in May‏
THE Tanzania Mercantile Exchange (TCX) is expecting to start trading in May this year after all the preparations including the regulations for guiding the market operations which are in the final stages.

The Capital Market and Securities Authority (CMSA), Public Relations Manager, Mr Charles Shirima said in Dar es Salaam yesterday that some companies have shown interests of trading at the country’s commodity exchange but have not been issued with licences.

“The preparations for the Tanzania Mercantile Exchange (TCX) have reached advanced
stage ready for the takeoff in May this year. Companies wishing to trade as commodities
dealers at the exchange are invited to register at the CMSA,” he said.

The TCX is expected to start by trading in coffee, cashew nuts, sesame, rice, sunflower
and probably maize currently traded under warehouse receipt system.

A commodity exchange is a central place where sellers and buyers meet to transact in
an orderly and organised fashion, with clearly specified and transparent rules.

The government backs commodity exchange as an answer to market challenges.

The training of the first commodities dealers, about 60, is ongoing and will end this
July and licensing them will follow thereafter.

The Parliament passed the bill for the establishment of the TCX after amendiing the CMSA law of 1994 to become Capital Markets and Commodities Exchange Act.

The exchange would provide a marketplace where buyers and sellers meet to trade
and be assured of quality, delivery and payment.

Experts in agro-business have it that the exchange will liberate farmers from poverty
through exposure to reliable domestic and export markets.

Liberalisation has its benefits mainly attributed to price determination as a result of market
forces of demand and supply.

Once farmers know what the market price is, they can enjoy fairer negotiations with
purchasers and can make more informed judgments on what to invest in the future and how to market it.

 

 
Leave a comment

Posted by on January 21, 2016 in Business News, Tanzania News

 

Tags: , , , , , , , ,

NHIF Yakabidhi Kadi za Matibabu kwa Wanachama wa Tanzania Bloggers Network‏ (TBN)

Meneja wa Mfuko wa Afya ya Jamii, Slivery Mgonza akimkabidhi Mwenyekiti wa Wamiliki wa Mitandao ya Jamii (Bloggers-TBN) kadi za Bima ya Afya kwa baadhi ya wanachama wa TBN.

Meneja wa Mfuko wa Afya ya Jamii, Slivery Mgonza akimkabidhi Mwenyekiti wa Wamiliki wa Mitandao ya Jamii (Bloggers-TBN) kadi za Bima ya Afya kwa baadhi ya wanachama wa TBN.

Meneja wa Mfuko wa Afya ya Jamii, Slivery Mgonza akimkabidhi Mwenyekiti wa Wamiliki wa Mitandao ya Jamii (Bloggers-TBN) kadi za Bima ya Afya kwa baadhi ya wanachama wa TBN. Kushoto ni Ofisa wa Mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa, Nicholaus Mwangomo.

Meneja wa Mfuko wa Afya ya Jamii, Slivery Mgonza akimkabidhi Mwenyekiti wa Wamiliki wa Mitandao ya Jamii (Bloggers-TBN) kadi za Bima ya Afya kwa baadhi ya wanachama wa TBN. Kushoto ni Ofisa wa Mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa, Nicholaus Mwangomo.

Meneja wa Mfuko wa Afya ya Jamii, Slivery Mgonza akimkabidhi Mwenyekiti wa Wamiliki wa Mitandao ya Jamii (Bloggers-TBN) kadi za Bima ya Afya kwa baadhi ya wanachama wa TBN. Kushoto ni Ofisa wa Mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa, Nicholaus Mwangomo.

Meneja wa Mfuko wa Afya ya Jamii, Slivery Mgonza akimkabidhi Mwenyekiti wa Wamiliki wa Mitandao ya Jamii (Bloggers-TBN) kadi za Bima ya Afya kwa baadhi ya wanachama wa TBN. Kushoto ni Ofisa wa Mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa, Nicholaus Mwangomo.

Meneja wa Mfuko wa Afya ya Jamii, Slivery Mgonza akimkabidhi Mwenyekiti wa Wamiliki wa Mitandao ya Jamii (Bloggers-TBN) kadi za Bima ya Afya kwa baadhi ya wanachama wa TBN. Kushoto ni Ofisa wa Mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa, Nicholaus Mwangomo.

Meneja wa Mfuko wa Afya ya Jamii, Slivery Mgonza akimkabidhi Mwenyekiti wa Wamiliki wa Mitandao ya Jamii (Bloggers-TBN) kadi za Bima ya Afya kwa baadhi ya wanachama wa TBN. Kushoto ni Ofisa wa Mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa, Nicholaus Mwangomo.

Meneja wa Mfuko wa Afya ya Jamii, Slivery Mgonza akimkabidhi Mwenyekiti wa Wamiliki wa Mitandao ya Jamii (Bloggers-TBN) kadi za Bima ya Afya kwa baadhi ya wanachama wa TBN.

Meneja wa Mfuko wa Afya ya Jamii, Slivery Mgonza akimkabidhi Mwenyekiti wa Wamiliki wa Mitandao ya Jamii (Bloggers-TBN) kadi za Bima ya Afya kwa baadhi ya wanachama wa TBN.

 
Leave a comment

Posted by on January 21, 2016 in Tanzania News

 

Tags: , ,

Tanzania Inflation Reaches6.8% In December 2015 Due To Higher Growth And Demand

According to The National Bureau of Statistics of Tanzania (NBS) the Annual Headline Inflation Rate for the month of December 2015 rose to 6.8% from 6.6% in November, 2015.
TZ INFLATION DEC 2015
The National Consumer Price Index (NCPI) which measures the change over time in the cost of a fixed basket of 224 goods and services purchased by a representative sample of households in Tanzania on monthly basis, increased from 150.92 in Dec, 2014 to 161.24 in Dec, 2015. According to the NBS, it follows higher rates of demand from households and international markets which drove the Tanzanian GDP to grow 6.3% in the Q3-2015 thanks to higher activity in construction, transport and mining sectors. Food and Non Alcoholic Beverages Inflation Rate for the Month of Dec 2015 has decreased to 11.1% from 11.2% recorded in Nov, 2015, however, food annual inflation has stabilized at 10.9% in the same period. The 12 months index change for non-food products for the month of Dec, 2015 has increased to 1.8% from 1.2% recorded in Dec, 2015. The Annual Inflation Rate which excludes food and energy for the month of Dec, 2015 has increased to 2.4% from 2.3% recorded in Nov, 2015.

 
Leave a comment

Posted by on January 20, 2016 in Business News, Tanzania News

 

Tags: , , , , , , , ,

BUSINESS TERM OF THE DAY: Cockroach Theory

Cockroach Theory is a A market theory that suggests that when a company reveals bad news to the public, there may be many more related negative events that have yet to be revealed. The term comes from the common belief that seeing one cockroach is usually evidence that there are many more that remain hidden.

A cockroach theory suggests that one piece of bad news indicates more bad news will follow.

The name comes from the common belief that the discovery of one cockroach means more are hiding nearby.

A cockroach theory can have crushing effects on an entire industry or a single business.

Investors who buy into a cockroach theory upon hearing bad news, such as a bad earnings report, will pull their support because they expect the worst. The company’s stock value will plummet as investors sell their shares.

Companies can limit the impact of negative earnings by releasing only parts of the story at a time, or by delaying their announcement as long as possible.  Bad news from one company will often be followed by bad news from another in the same industry.

 

JOB OPPORTUNITY:Field Service Engineer ( Philips Healthcare Equipment) – Tanzania

Experience 3-4Years

Job Description:

Responsible for Installation, demonstration, application support, commissioning & servicing of the equipment.
Continuous up gradation of technical skills, knowledge on products.
Service the machines at regular intervals.
Regular touch with customer to ensure the smooth functioning of the equipment.
Responsible for service revenue targets in terms of AMCS, spares.
Support to sales team for technical discussion at Major Customers.
Provide customer satisfaction at all times.

Salary: Not Disclosed by Recruiter

Industry: Medical / Healthcare / Hospitals

Functional Area: Sales , Retail , Business Development

Role Category:Channel Sales

Role:Sales / BD Manager

Keyskills
Service Engineering
Field Service
Sales
Customer Satisfaction Technical Skills
Medical equipment
Philips Healthcare philips medical Healthcare equipment
Desired Candidate Profile

Education-

UG:    B.Tech/B.E., Diploma

PG:    Any Postgraduate, Post Graduation Not Required

Doctorate:Doctorate Not Required

Should have relevant experience in installation & maintenance of Philips Healthcare products.
Must have certification on Philips healthcare products.
Leadership qualities to manage and lead the lead
Must have valid passport and ready to relocate at Tanzania

Click Here to Apply:

 
Leave a comment

Posted by on December 30, 2015 in Business News, General Knowledge

 

MONFINANCE BLOG 2015 in review

The WordPress.com stats helper monkeys prepared a 2015 annual report for this blog.

Here's an excerpt:

A New York City subway train holds 1,200 people. This blog was viewed about 5,500 times in 2015. If it were a NYC subway train, it would take about 5 trips to carry that many people.

Click here to see the complete report.

 
Leave a comment

Posted by on December 30, 2015 in Business News

 

Philips launches new range of patient monitors in Tanzania

December 16, 2015
On Tuesday December 15, 2015 Philips launched new range of patient monitors in Tanzania designed to provide access to high quality care at affordable costs
Efficia suite of solutions, including patient monitors and defibrillator/monitors, allow clinicians to provide diagnosis, monitoring and therapy, even in remote areas

Dar es Salaam, Tanzania – Royal Philips (NYSE: PHG AEX: PHIA) has announced the launch of its Efficia CM Series patient monitors in Tanzania – these cost effective products are designed to provide clinicians with access to high-quality of care, even in resource-limited facilities. These solutions highlight Philips’ commitment to enhance access and enable quality care across the health continuum – from healthy living and prevention, to diagnosis, treatment, recovery and home care, including in remote areas.

“As we innovate to improve health care, monetary constraints should not be a reason for limiting access to the best care available for improving a patient’s health,” said Roelof Assies, General Manager, Philips East Africa. “The Efficia suite is designed to bring trusted and effective Philips technology and performance at an affordable price to the health care facilities where resource limitations have prevented this access before.”

Making quality care affordable
Effective patient monitoring can help improve diagnosis and provide earlier intervention, which is not only critical for improving patient outcomes, but can also help hospitals improve operational efficiencies.

Efficia 1The Efficia CM Series patient monitors provide the same core physiological measurements and algorithms that are present in other Philips patient monitors, but are designed to be more cost-effective and scalable to the needs of budget-constrained health care facilities.

The series, including Efficia CM100, Efficia CM120 and Efficia CM150, are solidly built and reliable, able to handle heavy workloads and electrostatic interference, and can be customized for a variety of patient types, acuity levels and clinical settings, and include an intuitive user-interface to ease the burden on busy clinician workflow.

The Efficia CM patient monitors can be connected to Efficia CMS200 central monitoring system, which provides centralized monitoring and real-time access to patient physiological data and displays waveforms, parameters and alarms for up to 32 patients.

Efficia DFM100 – Providing therapeutic care where it is needed most

efficia 2To deliver quality care, clinicians need to make quick, informed decisions when responding to an emergency and caring for a patient across the entire course of treatment. The Efficia DFM100 defibrillator/monitor is designed to be easy to use for both basic and advanced life support care providers to meet the demands of patient care in pre-hospital and hospital environments effectively and consistently. The Efficia DFM100 provides functionalities needed to enhance patient care, regardless of where they are located. It is also scalable to ensure affordability across all care settings.

“Clinicians are constantly under pressure to meet clinical demands on a tight budget,” said Dr. Juma A. Mfinanga, Head of Emergency Department at Muhimbili National Hospital. “The Efficia solutions work with the clinicians and the hospital; they are affordable and intuitive, allowing limited staff to focus on care first.”

For further information, please contact:
Radhika Choksey
Philips Group Communications – Africa
Tel: +31 62525 9000
E-mail: radhika.choksey@philips.com

About Royal Philips:
Royal Philips (NYSE: PHG, AEX: PHIA) is a diversified health and well-being company, focused on improving people’s lives through meaningful innovation in the areas of Healthcare, Consumer Lifestyle and Lighting. Headquartered in the Netherlands, Philips posted 2014 sales of EUR 21.4 billion and employs approximately 106,000 employees with sales and services in more than 100 countries. The company is a leader in cardiac care, acute care and home healthcare, energy efficient lighting solutions and new lighting applications, as well as male shaving and grooming and oral healthcare. News from Philips is located at http://www.philips.com/newscenter.

 
Leave a comment

Posted by on December 18, 2015 in Business News

 

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 20 NOVEMBA 2015

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA,  20 NOVEMBA 2015

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA,
20 NOVEMBA 2015

magufuli1

Mheshimiwa Spika;
Niko hapa leo kutimiza matakwa ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 91 Ibara ndogo ya kwanza inayonitaka kulihutubia na kulifungua rasmi Bunge hili. Naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima na afya njema, na kutuwezesha kuwepo hapa siku ya leo. Aidha nitumie fursa hii kuwakumbuka wenzetu ambao, kwa namna na nafasi mbalimbali, walishiriki katika mchakato wa uchaguzi huu na kwa bahati mbaya walipoteza maisha yao kabla ya mchakato haujakamilika. Kwa hao wote waliotangulia mbele za haki ninamuomba Mwenyezi Mungu azirehemu roho zao na awape pumziko la amani. Nitumie nafasi hii kuwapa pole ndugu na jamaa ambao ndugu zao walifariki na wengine kupata ulemavu wakati wa mchakato wa uchaguzi huu.
Pia natoa pongezi kwako wewe Mheshimiwa Spika, Job Ndugai na Mheshimiwa Naibu Spika, Dkt. Ackson Tulia kwa kuchaguliwa kwenu kuongoza Bunge letu la 11. Waheshimiwa Wabunge wamewapa imani yao, na mimi kwa nafasi yangu nawahakikishia imani na matumaini yangu makubwa kwenu. Sina shaka Mheshimiwa Spika, chini ya uongozi wako Bunge letu limepata kiongozi mahiri, makini na mweledi.
Aidha, niwapongeze Wabunge wote kwa kuchaguliwa kuwa wabunge wa Bunge hili la 11. Aidha, nitumie nafasi hii kuwapongeza wale wote waliochaguliwa katika nafasi za udiwani katika kata mbalimbali kote nchini. Natoa pongezi hizi kwa dhati kabisa kabisa kwa sababu kuu mbili:
• Kwanza, ni kwa sababu ushindani katika uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa ni mkubwa sana kuanzia ndani ya vyama vyetu na baadae katika Uchaguzi Mkuu uliohusisha na kushindanisha wagombea toka vyama tofauti.
• Pili, nawapongeza kwa sababu wananchi wamewapa imani na ridhaa ya kuwawakilisha katika kipindi ambacho matarajio yao kwa Awamu ya Tano ya uongozi wa nchi yetu ni makubwa sana. Watatupima kwa namna tutakavyokidhi kiu na matarajio yao. Sote tuliahidi kuwatumikia wananchi, na kutokana na utumishi wetu kwao tuweze kutatua matatizo yao mbalimbali, na kuongoza mabadiliko makubwa ya kiutendaji, usimamizi wa matumizi ya mali za umma na rasilimali za taifa, na ugawaji wa rasilimali hizo kwa haki. Mimi na Mheshimiwa Samia Suluhu, Makamu wa Rais tuliwaahidi wananchi kuwa tutawatumikia na tutahakikisha kuwa katika utumishi wetu tutawajali wananchi wote, lakini zaidi wananchi wa kawaida. Naamini wenzangu pia ndicho mlichoahidi na daima tukumbuke kuwa kazi zetu na mipango yetu yote tutakayoipanga na kuisimamia italenga katika kuwanufaisha watu wetu.
Mheshimiwa Spika;
Niwahakikishie tu wananchi kuwa mambo tuliyowaahidi tutayatekeleza. Sikusudii kurejea mambo yote niliyoahidi katika hotuba yangu hii ya leo, lakini nataka niwatoe wasiwasi kabisa kwamba tuliyoahidi tumeahidi na ahadi ni deni. Nataka Wananchi mniamini kuwa sikutoa ahadi ili tu mnipigie kura, niliahidi kuwatumikia na kuwafanyia kazi, na hicho ndicho nitakachofanya. Ni imani yangu kwamba Waheshimiwa Wabunge na Madiwani pia watafanya hivyo hivyo kama tutakavyofanya sisi.
Napenda pia kutoa shukrani zangu za dhati kabisa kwa Watanzania wote. Tulijiandikisha kwa wingi sana kwa ajili ya kupiga kura, tulishiriki na kufuatilia kwa karibu sana kampeni za uchaguzi, na tukajitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura. Kinyume na ilivyotabiriwa na wasio tutakia mema hakuna siku iliyokuwa na utulivu mkubwa na amani kama siku ya tarehe 25 Oktoba tulivyokwenda kupiga kura. Hata baada ya matokeo kuanza kutangazwa tulionyesha utulivu mkubwa, na hata pale ambapo matokeo yalipotangazwa na yakawa sivyo baadhi yetu walivyoyatarajia bado tuliyapokea kwa hali ya utulivu na uungwana mkubwa.
Wale waliotarajia kuwa tutafarakana wameondoka wakiwa wamefadhaika sana huku wakijiuliza hivi hawa Watanzania ni Waafrika wa namna gani. Ndugu zangu Watanzania, kwa mara nyingine tena tumedhihirisha, kwetu sisi wenyewe, kwa Afrika na dunia, kwamba sisi ni kisiwa cha Amani katika bahari iliyochafuka. Tunayo haja ya kujipongeza na kujiwekea nadhiri kuwa tuaendelea kuidumisha hali hii na kuilinda amani ya nchi yetu. Ombi langu kwa vyama vya siasa, wanasiasa wa vyama vyote na viongozi wa dini ni kutimiza wajibu wetu wa kuilea amani ya nchi yetu.
Aidha, napenda niungane na ninyi pamoja na Watanzania wote kuvipongeza vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama (Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Polisi, Magereza, Uhamiaji na Usalama wa Taifa pamoja na mgambo) kwa jinsi walivyoshiriki katika kuhakikisha nchi yetu inaendelea kuwa salama katika kipindi chote cha uchaguzi.
Nawapongeza pia Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa namna walivyosimamia zoezi zima la uchaguzi toka hatua za awali za kujiandikisha hadi siku ya kupiga kura na kutangaza matokeo. Mmetimiza wajibu wenu kwa weledi na umahiri mkubwa katika mazingira magumu na yenye changamoto nyingi. Hongereni, hongereni sana!
Mheshimiwa Spika;
Naomba kwa namna ya pekee, niwashukuru viongozi wakuu wa nchi yetu walionitangulia kwa kazi kubwa na nzuri walioifanyia nchi yetu. Natambua mchango wa Waasisi wa taifa letu, Mwalimu Nyerere na Mzee Karume kwa kujenga misingi imara wa umoja, mshikamano na amani ya nchi yetu. Mzee Mwinyi (Mzee Ruksa) kwa kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa na kuijenga misingi yake. Mzee Mkapa (Mzee wa Ukweli na Uwazi) kwa kupanua na kuimarisha misingi ya uchumi na siasa ya nchi yetu. Mzee Kikwete (Mzee wa Maisha Bora) kwa kuendeleza misingi hiyo na kupanua fursa mbalimbali kwa wananchi kujiletea maendeleo yao. Wamefanya kazi kubwa. Nawashukuru sana na ninawatakia uzee mwema na maisha marefu ili tuzidi kuchuma busara zao.
Mhishimiwa Spika;
Tumeingia kwenye uchaguzi wamoja, tumeshindana katika kampeni tukiwa wamoja, na tumemaliza uchaguzi wetu tukiwa wamoja. Nataka niwahakikishie Waheshimiwa Wabunge na Watanzania kwa ujumla kwamba Serikali ya Awamu ya Tano itaendelea kulinda kwa nguvu na uwezo wote Tunu hizi za Umoja na Amani. Hatutakuwa na simile kwa mtu au kikundi chochote ambacho kitataka kuvuruga umoja na amani yetu kwa misingi ya udini, rangi, ukabila, vyama au ukanda.
Mheshimiwa Spika;
Wakati wa kampeni, yako maeneo yaliyojitokeza kwa kulalamikiwa sana na wananchi. Ningependa niyataje baadhi ya maeneo yaliyolalamikiwa, maeneo hayo ni pamoja na:
• Rushwa – Suala la rushwa limelalamikiwa sana takriban katika maeneo yote yanayogusa wananchi.
• TAMISEMI – Upotevu wa mapato, kushindwa kukusanya kodi, ubadhirifu, matumizi mabaya ya fedha na utekelezaji wa baadhi ya miradi chini ya viwango, wizi, uzembe, n.k.;
• Ardhi – Migogoro ya wakulima na wafugaji, viwanja, kuhodhi maeneo bila kuyaendeleza, mipango miji, kujenga maeneo ya wazi, n.k.;
• Bandari – Rushwa, wizi, ubadhirifu na urasimu;
• Maji – Kiwango cha chini cha upatikanaji wa maji safi na salama, huduma ya maji kupatikana mbali na makazi, n.k.;
• TRA – Ukwepaji kodi, rushwa, ubadhirifu, urasimu na upotevu wa mapato kwa kushindwa kukusanya kodi hasa kodi zinazotakiwa kulipwa na wafanyabishara wakubwa;
• TANESCO – Kukatika kwa umeme mara kwa mara na uwepo wa umeme wa mgao;
• Maliasili na Utalii – Ujangili ambao lazima Idara husika inashiriki, Migogoro ya mipaka kati ya vijiji na Hifadhi, Upotevu wa mapato, n.k.;
• Huduma za Afya (Hospitali) – Huduma kuwa mbali na wahitaji, Ukosefu wa madawa, hujuma kwenye vifaa vya vipimo, msongamano wa wagonjwa na tozo zisizostahili, lugha mbaya za watumishi kwa wagonjwa, uhaba wa majengo, vitendea kazi, rasilimali watu na fedha, kushindwa kukusanya mapato yanayowahusu, n.k.;
• Uhamiaji na Ajira – Kutoa hovyo hati za uraia, Vibali vya kuishi nchini kwa wageni, Kushindwa kusimamia ajira za wageni hususan kwa kazi zinazoweza kufanywa na wazawa, n.k.;
• Elimu – Uhaba wa vifaa vya kujifunzia na kufundishia, michango mingi isiyo ya lazima, malalamiko ya walimu yasiyoisha, mazingira ya kusomea ikiwa ni pamoja na majengo, Madawati, Ukosefu wa nyumba za walimu, n.k.;
• Polisi – Malalamiko ya wananchi kubambikiwa kesi, upendeleo, Madai ya askari, Ukosefu wa nyumba za askari, Ukosefu wa vitendea kazi vya kisasa, n.k.;
• Zimamoto – Kuchelewa kufika kwenye matukio, kufika kwenye matukio bila vitendea kazi kama maji, n.k.;
• Mizani – kucheleweshwa kwa magari yanayosafiri;
• Mahakama – Natambua jitihada za Mahakama katika kushughulikia swala la mrundikano wa kesi. Hata hivyo, bado kumekuwa na malalamiko mengi juu ya ucheleweshaji wa kesi.
• Madini – Wenyeji kutofaidika, Vilio vya wachimbaji wadogowadogo kutengewa maeneo ya uchimbaji na kupatiwa mikopo, kutolipa kodi stahiki, usumbufu kulipa fidia, n.k;
• Kilimo na Mifugo – Uhaba wa pembejeo za mifugo na kilimo, Tatizo la masoko, Kukopwa mazao ya wakulima, Ukosefu wa Wataalamu wa Ugani, Upungufu wa Maghala, Mabwawa, Malambo, Majosho, n.k.;
• Uvuvi – Vifaa duni na masoko, Uvuvi haramu, Uwekezaji mdogo katika Sekta ya Uvuvi hususan viwanda vya mazao ya uvuvi n.k., na hasa katika ukanda wetu wa bahari;
• Reli – Uchakavu wa miundombinu ya nchi, Kutokuwepo kwa usafiri wa uhakika wa reli, upungufu wa bandari kavu, Mizigo mingi kusafirishwa kwa barabara, n.k.;
• ATC – Shirika la Ndege lipo, Wafanyakazi wapo zaidi ya 200, na wanalipwa mishahara ila ndege ni moja (1);
• Makundi Maalum – Haki za wazee, Walemavu, Wanawake na watoto zimekuwa zikikiukwa;
• Wafanyakazi, Wasanii na Wanamichezo – Mzigo wa kodi kwa wafanyakazi, Haki na maslahi yao, n.k.;
Kero hizi tutazishughulikia kwa nguvu zetu zote. Wizara, Ofisi na Taasisi husika zijipange ipasavyo kutatua kero hizi. Nimetaja baadhi ya kero hizi ili nanyi Waheshimiwa Wabunge mzitambue na mshirikiane na Serikali na wadau wengine tuzitatue haraka.
Pamoja na kero hizo tutashughulikia pia mambo yafuatayo.
Kuimarisha Muungano
Mheshimiwa Spika;
Nilipoapa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, niliapa kuulinda Muungano wa nchi yetu. Hata bila kiapo, mimi ni muumini wa dhati wa Muungano wetu wa kipekee, uliounganisha nchi mbili zilizokuwa huru za Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, tena kwa hiari na kwa wino wa kalamu, na si mtutu kama miungano mingine duniani. Naamini kwa dhati ya moyo wangu kuwa Muungano wetu ndio umoja wetu, amani yetu na salama yetu. Ninayo kila sababu ya kuulinda na kuuenzi Muungano wetu adhimu na adimu. Ni azma yangu kuwaona wananchi wa Zanzibar na Bara wakifurahia matunda ya Muungano wetu badala ya kuwa kikwazo kwa ustawi wao na ustawi wa nchi yetu.
Aidha, kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na wadau wa siasa hususan vyama vya CUF na CCM tutahakikisha kuwa majaribu ya kisiasa yanayoikabili Zanzibar yanamalizika kwa salama na amani. Tunamuomba Mwenyezi Mungu atujalie busara na hekima tumalize kwa utulivu na amani.
Serikali nitakayoiunda itafanya kila lililo ndani ya uwezo wake kuendelea kuimarisha Muungano wetu. Nina faraja kuwa Mheshimiwa Samia Suluhu, Makamu wa Rais anao uzoefu mkubwa kutokana na nafasi yake ya awali ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano, na pia akiwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Katiba. Mimi pamoja na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu na Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein tutahakikisha tunasimamia na kuimarisha Muungano wetu.

Kuimarisha Mihimili ya Serikali
Mheshimiwa Spika;
Serikali ya Awamu ya Tano itaheshimu na kuendeleza utamaduni mzuri uliojengeka nchini wa kuheshimu mihimili ya dola. Tutafanya hivyo kwa kuhakikisha kuwa mihimili yetu ya Bunge na Mahakama inapata fedha za kutosha kuendesha shughuli zake kwa uhuru kupitia Mfuko wa Bunge na Mfuko wa Mahakama. Kwa upande wa Bunge, tutahakikisha fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Jimbo zinapatikana kwa wakati ili Waheshimiwa Wabunge mkashirikiane na wananchi wenu kusukuma maendeleo. Kwa upande wa Mahakama, tutalipa uzito mkubwa suala la uboreshaji wa Mahakama kwa kusogeza huduma za Mahakama karibu na wananchi, kuongeza kasi ya utoaji haki na kuboresha maslahi ya watumishi wa Mahakama zetu.
Mchakato wa Katiba
Mheshimiwa Spika;
Serikali yangu imepokea kiporo cha mchakato wa Katiba ambao haukuweza kukamilika katika Awamu iliyopita kutokana na kutokukamilika kwa wakati kwa zoezi la uandikishaji wapiga kura. Napenda kuwahakikishia kuwa tunatambua na kuthamini kazi kubwa ya kizalendo iliyofanywa na wananchi walioshiriki hatua ya awali ya ukusanyaji wa maoni kuhusu Katiba mpya, Tume ya Marekebisho ya Katiba na Bunge la Katiba lililotupatia Katiba Inayopendekezwa. Tutatekeleza wajibu wetu kama ulivyoainishwa katika Sheria ya Marekebisho ya Katiba.
Uchumi na Matarajio ya Wananchi
Mheshimiwa Spika;
Serikali ya Awamu ya Tano inaingia madarakani kukiwa na msingi imara wa kiuchumi uliojengwa katika Awamu inayomaliza muda wake. Uchumi wa nchi yetu umekuwa ukiimarika na kukua wastani wa asilimia 7. Katika kipindi hicho fursa mbalimbali za kiuchumi zilizopo nchini mwetu zimezidi kufunguliwa. Hii ni kutokana na jitihada zilizofanywa na Serikali za Awamu zilizopita za kujenga miundombinu ya kiuchumi kama vile barabara, uimarishaji wa bandari, uimarishaji wa reli, na ukuzaji wa sekta za mawasiliano ya simu na mitandao, ukuzaji na uongezaji wa uwezo wetu wa kuzalisha na kusambaza umeme.
Napenda kuwahakikishia kuwa tutaendeleza na kuimarisha ujenzi wa miundombinu mipya na kuiimarisha iliyopo ili kuvutia na kushawishi wawekezaji wa ndani na wa nje.
Mheshimiwa Spika;
Nasema hivi kwa sababu miongoni mwa ahadi tulizowaahidi Watanzania ni kuendeleza ujenzi wa barabara mbalimbali za kuunganisha miji yetu mikuu ya mikoa na wilaya; barabara ziendazo kwenye maeneo muhimu ya kimkakati na kiuchumi; na upanuaji wa barabara za miji kama Dar es Salaam kwa kujenga flyovers, barabara za pete (ring roads), n.k. Uboreshaji wa barabara na njia nyingine za uchukuzi na usafirishaji kuingia na kutoka Dar es Salaam ni muhimu sana kwa sababu bandari ya Dar es salaam ni lango kuu la biashara kwa nchi yetu na nchi jirani.
Mheshimiwa Spika;
Katika jitihada hizo hizo za kuboresha na kuimarisha miundombinu ya kiuchumi Serikali ya Awamu ya Tano, katika kipindi cha miaka mitano ijayo itaelekeza nguvu zake katika ujenzi wa reli mpya katika kiwango cha kimataifa (yaani standard gauge). Reli ambazo tunakusudia zianze kujengwa ni:
• Dar es Salaam – Tabora – Kigoma/Mwanza
• Uvinza – Msongati (Burundi) na Isaka – Kigali (Rwanda)
• Mtwara – Songea – Mbamba Bay na matawi ya kwenda Mchuchuma na Liganga;
• Tanga – Arusha – Musoma
• Kaliua – Mpanda – Karema
Mheshimiwa Spika;
Nchi yetu pia imejaliwa kuwa na madini na maliasili nyingi. Ugunduzi wa gesi asilia umeongeza matumaini ya watu wetu wengi juu ya uwezo wetu wa kiuchumi katika miaka ijayo. Serikali itahakikisha kwamba madini na maliasili zetu zinatumika kwa manufaa ya Taifa letu kwa kusimamia Sheria na Taratibu zilizopo. Aidha, napenda kuipongeza kwa dhati kabisa Serikali ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Bunge la 10 kwa kupitisha Sheria ya Usimamizi wa Mapato ya Mafuta na Gesi yaani The Oil and Gas Revenues Management Act, 2015. Serikali yangu itasimamia utekelezaji wa sheria hiyo kwa uaminifu na umakini mkubwa.
Ujenzi wa Viwanda
Mheshimiwa Spika;
Serikali ya Awamu ya Tano itaweka mkazo mkubwa katika ujenzi wa Viwanda. Natambua kwamba sekta binafsi ndiyo muhimili mkubwa wa kujenga uchumi wa viwanda. Hatuna njia nyingine kama kweli tunataka kujenga msingi wa uchumi endelevu katika nchi yetu utakaopaisha uchumi na maisha ya watu wetu. Dira ya Maendeleo ya 2025 inatutaka tuwe nchi ya watu wenye kipato cha kati. Tunaweza tukafika huko, na dalili zipo, lakini pia tunaweza tukafika huko kitakwimu tu wakati ukweli na uhalisia wa mambo ni tofauti. Utofauti ninaouzungumzia ni pale takwimu zitakapoonyesha kwamba sisi ni nchi ya kipato cha kati wakati mapato halisi na hali za maisha ya watu wengi hazifanani na takwimu hizo. Tamaa yangu na kwa kweli jitihada za Serikali ya Awamu ya Tano, zitakuwa katika ujenzi wa uchumi wa kipato cha kati ambapo sura na maisha ya Watanzania walio wengi yafanane fanane na nchi ya kipato cha kati. Njia moja ya kutufikisha huko ni uendelezaji wa viwanda.
Mheshimiwa Spika;
Tutahakikisha suala la viwanda linasimamiwa vizuri na tunafanikiwa. Matarajio yangu ni kuwa Bunge lako Tukufu litatuunga mkono mimi na Serikali nitakayoiunda katika kufikia lengo hili.
Mheshimiwa Spika;
Kama nilivyosema wakati wa Kampeni, na nataka nirudie hapa, tutaanza na viwanda vilivyopo na kuhakikisha vinafanya kazi. Wale wote ambao walibinafsishiwa viwanda vilivyokuwa vya umma kwa makubaliano kwamba wataviendeleza niliwataka wafanye hivyo mapema. Na hapa nataka nisisitize wito wangu huo kwao. Najua huko nyuma ufuatiliaji na usimamizi wa utekelezaji wa mikataba ya aina hiyo umekuwa ukilegalega na watu wamejifanyia mambo watakavyo. Wapo walioacha kabisa uzalishaji na kufumua hata mitambo ya uzalishaji. Mimi niliahidi, na nataka niseme hapa kwa wazi kabisa, kwamba wale waliobinafsishiwa viwanda hivyo waanze kazi, waanze kazi mara moja. Wakishindwa basi tutavitwaa viwanda hivyo kwa kuzingatia sheria na taratibu za nchi na kuwapa watu wengine wenye nia ya kuviendeleza. Hatuwezi kuwa na watu wanajiita wawekezaji tunawapa viwanda vyetu halafu wanaviatamia tu. Mimi hilo sitalikubali na wala sitalivumilia. Nimeielekeza Ofisi ya Msajili wa Hazina kuanza kushughulikia suala hili mara moja. Naomba Bunge lako lituunge mkono.
Mheshimiwa Spika;
Njia ya pili ya kuendeleza viwanda ni kuhimiza na kushawishi wawekezaji kuwekeza katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu. Kama nilivyoeleza miundombinu ya kufanya hivyo tayari ipo na baada ya muda itakuwa bora zaidi. Najua wapo watu wanaotaka kuwekeza Tanzania sasa, katika viwanda, na wamekuwepo hata miaka ya nyuma kidogo, lakini wakati mwingine sisi humu humu – tukiwemo sisi viongozi kwa kushirikiana na wafanyabiashara matapeli na laghai – tumehujumu mipango na shauku ya wawekezaji wa nanma hiyo. Pamoja na shauku na utayari wao wa kuwekeza Tanzania tumewawekea vikwazo na kuwapiga vita na hivyo kuwalazimisha kwenda kuwekeza katika nchi jirani. Sisi katika Serikali ya Awamu ya Tano tutajitahidi sana kuondoa usumbufu na urasimu wa aina hiyo na kuongeza bidii ya kuwashawishi wawekezaji wa ndani na wa nje kuja kuwekeza viwanda hapa nchini. Kwa watendaji wa Serikali watakaokwamisha jitihada za uwekezaji na ujenzi wa viwanda hapa nchini hatutawavumilia.
Mheshimiwa Spika;
Ni viwanda vya aina ipi hasa tunavyovikusudia? Sura ya kwanza ya viwanda tunavyovikusudia ni vile ambavyo sehemu kubwa ya malighafi yake itatoka ndani, hususan kweye sekta za kilimo, mifugo, uvuvi, na madini – na maliasili nyingine. Viwanda vya aina hii vitatupa fursa ya kujenga mfumo wa uzalishaji ndani ya nchi uliofungamana na kushikamana. Viwanda vya aina hii vitahitaji na kutegemea malighafi toka kwa wazalishaji wa sekta nilizozitaja, na kwa kufanya hivyo wazalishaji hao watakuwa na soko la uhakika humu humu ndani ya nchi. Sura ya pili ya viwanda hivi ni kuzalisha bidhaa ambazo zinatumiwa na watu wengi humu nchini (mass consumption) – yaani bidhaa kama vile nguo, viatu, mafuta ya kupikia, n.k. kwa hivyo viwanda hivi vitakuwa na uhakika wa soko la ndani kabla ya kufikiria soko la nje. Viwanda hivi vitatarajiwa kuzalisha ziada kwa ajili ya masoko ya nje. Yote mawili yakitokea, yaani kuzalisha kwa ajili ya soko la ndani na nje, itatuongezea akiba yetu ya fedha za kigeni na kutuwezesha kutekeleza na kuendeleza mipango mingine kwa ajili ya ustawi wa uchumi wetu. Sura ya tatu ya viwanda tunavyovikusudia ni kuzalisha ajira nyingi. Shabaha yetu ni kuwa ifikapo mwaka 2020 idadi ya ajira itokanayo na viwanda ifikie asilimia 40 ya ajira zote zitakazokuwepo nchini wakati huo.

Mheshimiwa Spika;
Nimeamua kulisema hili kwa kirefu sana kwa sababu ili tufanikiwe lazima tuelewane na tusaidiane kulisukuma kwa pamoja jambo hili.
Kilimo, Mifugo na Uvuvi
Mheshimiwa Spika;
Sekta nyingine ambazo lazima tutazitilia mkazo mkubwa na kuziendeleza ni kilimo, mifugo na uvuvi. Tutaziangalia sekta hizi kwa mtazamo wa kibiashara na viwanda kwa lengo la kuwa na viwanda vya kisasa vya kuongeza thamani mazao yatokanayo na kilimo, mifugo na uvuvi. Nchi yetu kwa kiasi kikubwa ni nchi ya kilimo, ufugaji na uvuvi. Hii inatokana na ukweli kwamba sehemu kubwa ya watu wetu wapatao asilimia 75 wanaishi vijijini na wanategemea kilimo, ufugaji na uvuvi kwa ajili ya maisha yao. Wakulima, wafugaji na wavuvi wanatumia zana na mbinu duni katika shughuli zao na wanazalisha zaidi ya asilimia 95 ya chakula chote kinacholiwa hapa nchini, na kutoa mchango wa asilimia 25 kwenye pato la taifa yaani GDP, na asilimia 30 ya mapato yetu ya fedha za kigeni. Kwa takwimu hizi chache ni wazi kwamba mchango wa sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi katika uchumi wetu na maisha yetu ni mkubwa sana. Nichukue nafasi hii kuwapongeza na kuwashukuru wakulima, wafugaji na wavuvi wote wa Tanzania kwa mchango wao mkubwa katika maisha yetu na uchumi wa nchi yetu. Nataka kuahidi kwao sitawaangusha.
Mheshimiwa Spika;
Pamoja na umuhimu wa kilimo, mifugo na uvuvi katika uchumi wetu wakulima, wafugaji na wavuvi wetu wengi bado ni watu maskini. Mapato yao yako chini na wanaishi maisha duni. Lengo letu ni kuuimarisha sekta hizi ili ziweze kutoa mchango mkubwa zaidi katika uchumi wa nchi lakini pia ziweze kuwanufaisha wakulima, wafugaji na wavuvi katika kuyabadili maisha yao. Tukiweza kuboresha sekta hizi vijana wengi zaidi watavutiwa kujiunga nazo na hivyo kupunguza tatizo la upatikanaji wa ajira. Nataka niwahakikishie wakulima, wafugaji na wavuvi wetu kwamba ahadi zetu kwao tutahakikisha zinatekelezwa. Serikali ya Awamu ya Tano itazisimamia kwa dhati ahadi hizo ili kuhakikisha kwamba kilimo, ufugaji na uvuvi unakuwa wa kisasa zaidi na wenye tija. Baadhi ya mambo tuliyowaahidi kuyatekeleza ni pamoja na haya yafuatayo:
1. Kuwapatia mafunzo ya kilimo, ufugaji na uvuvi wa kisasa ikiwa pamoja na ufugaji wa samaki,
2. Kuwapatia pembejeo,
3. Kuwapatia zana za kisasa za kilimo, ufugaji na uvuvi,
4. Kuwapatia wataalamu wa ugani,
5. Kuwawezesha kupata masoko ya uhakika ya mazao yao,
6. Kuwapatia mikopo, na kwa hili Benki ya Kilimo itasaidia sana kufikia lengo hili,
7. Kuondoa ushuru, kodi na kero mbalimbali za mazao ya kilimo, mifugo na uvuvi zinazosababisha bei ya mazao hayo kuwa chini (mfano. Kahawa, kule Kagera ina kodi 26 ambazo husababisha wananchi kuuza kahawa yao Uganda ambako bei iko juu, tutapunguza kama sio kuondoa kabisa ushuru hizo ili wakulima wapate bei nzuri. Tutafanya hivyo pia kwa mazao mengine kama mahindi, chai, pamba, korosho, mkonge, ngozi, nyama, maziwa, samaki, n.k.),
8. Kuwahakikishia umiliki wa ardhi na kuwaondolea usumbufu wa wao kuondolewa kwenye ardhi zao kupisha wawekezaji,
9. Kuhakikisha kwamba migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji tunaitatua na kuikomesha kwa kuhakikisha kuwa vyanzo vya msingi vya migogoro hiyo tunaviondosha haraka,
10. Kuhakikisha kwamba tatizo la wavuvi kuvamiwa na majambazi na uvuvi haramu linashughulikiwa kikamilifu.
Tatizo la Umaskini na Ajira
Mheshimiwa Spika;
Nimezungumzia umuhimu wa kuendeleza viwanda, kilimo, mifugo na uvuvi kwa sababu ya matatizo makubwa mawili yanayoikabili nchi yetu kwa sasa. Kwanza, ni tatizo la UMASIKINI na pili ni tatizo la AJIRA. Ni kweli uchumi wetu umekuwa ukikua kwa kasi ya kuridhisha, lakini kasi hiyo haijawiana na kasi ya kuondoa umasikini na uzalishaji wa ajira za kutosha kwa vijana wetu wanaoingia kwenye soko la ajira kila mwaka.
Mheshimiwa Spika;
Kwa mujibu wa takwimu zilizopo zaidi ya asilimia 28.2 ya Watanzania ni maskini. Na kwamba kwa namna na kadri uchumi wetu unavyokuwa pengo baina ya matajiri (walionacho) na maskini (wasionacho) linazidi kukua. Tukiendelea hivi tunavyoendelea sasa hatutakuwa tunaitakia mema nchi yetu kwa sababu mgawanyiko mkubwa wa kimapato na tofauti kubwa za kimaisha baina ya matajiri na maskini ukiachiwa uendelee na kuzidi kukua utachochea chuki na uhasama baina ya walionacho na wasionacho. Lazima tujizatiti na kutumia akili, maarifa na nguvu zetu zote kukabiliana na kuibadilisha hali hii. Kwanza, lazima tushughulike na UMASIKINI wa watu wetu. Na njia moja kama nilivyokwisha eleza ni uendelezaji wa sekta ya viwanda na uboreshaji wa sekta za kilimo, mifugo na uvuvi.
Mheshimiwa Spika;
Tatizo la pili ni AJIRA. Kama nilivyokwisha kugusia, ukuaji wa uchumi wetu haujaenda sambamba na kasi ya watu wanaoingia kwenye soko la ajira kila mwaka. Tatizo la ajira ni kwa vijana wote waliosoma viwango mbalimbali vya elimu na wasio na ujuzi. Hii inamaana kwamba sekta zinazochangia kukua kwa uchumi wa nchi yetu sizo zinazozalisha ajira kwa wingi. Ndio maana ya kuweka msisitizo kwenye sekta ya viwanda hasa vile vinavyoajiri watu wengi, na sekta ya kilimo, uvuvi na mifugo ambavyo ndio mwajiri mkubwa hivi sasa.
Mheshimiwa Spika;
Pamoja na kuweka msisitizo katika Viwanda, Kilimo, Mifugo na Uvuvi hatuna budi kuwawezesha vijana wetu kuanzisha shughuli mbalimbali za uzalishaji kwa viwango mbalimbali. Ili hili liwezekane, na sisi tutalifanya, linahitaji mambo mawili makubwa.
Kwanza, kuwaandaa vijana wetu vizuri kielimu na kiujuzi. Hatuna budi kuweka mkazo katika viwango vya ubora vya elimu na stadi za kazi wanazopata vijana wetu. Nalisema hili kwa sababu hatuwezi kuzungumzia uendelezaji wa viwanda ikiwa hatujaandaa vijana wenye uwezo, ujuzi, na stadi za kufanya kazi hizo kwa ubora na ufanisi wa hali ya juu; hatuwezi kutaka kuwekeza katika viwanda vya nguo au samani ikiwa hatuna wahandisi wa mitambo wazuri, wabunifu wa zuri na wenye viwango vinavyotakiwa na kukubalika. Aidha hatuwezi kuwa na vijana wenye uthubutu wa kuanzisha shughuli za uzalishaji kama hawana elimu na maarifa ya kubuni miradi na kuiendeleza. Kwa hivyo tutaelekeza nguvu zetu katika kuhakikisha kuwa shule na vyuo vyetu katika ngazi mbalimbali vinafundisha na kutoa vijana wenye viwango vya hali ya juu vya elimu, maarifa, ujuzi na ufundi.
Mheshimiwa Spika;
Pili, ni suala la uwezeshaji wa vijana hasa wale watakaotaka kujiajiri. Katika kutekeleza lengo hili Serikali ya Awamu ya Tano itachukua na kutekeleza hatua mbalimbali ikiwemo:
• Kuwawezesha vijana wanaohitimu Elimu ya Juu na Vyuo vya Ufundi kupata mitaji ya kuwasaidia kuanzisha makampuni yao kulingana na fani walizosomea;
• Kuwawezesha vijana kuanzisha SACCOS zao na kupitia SACCOS hizo kuwawezesha kupata mikopo;
• Kuwawezesha vijana wajasiriamali kujiunga na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii ili waweze kupata mikopo na kunufaika na mafao mengine katika mifuko hiyo.
Mheshimiwa Spika;
Tatu, ni kuzitambua na kuziheshimu kazi na shughuli mbalimbali zinazofanywa na makundi mbalimbali ya kinamama na vijana. Hapa namaanisha shughuli za kina Mama lishe, wachuuzi mbalimbali, Machinga, waendesha Boda Boda na Maguta, na vijana wa kike na wa kiume wanaojitafutia kazi mbalimbali halali za kujipatia mapato kwa ajili ya kuendesha maisha yao, n.k. Shughuli za makundi haya zinatusaidia sana katika kupunguza makundi ya vijana wetu ambao wangekaa tu na kuzurura zurura ovyo bila shughuli ya kufanya. Na kwa kuwa kwa sasa uwezo wetu wa kuwapatia ajira tofauti ni mdogo ni jukumu letu kuwasaidia na kuwawezesha kufanya shughuli zao kwa utilivu bila bugudha. Niliahidi, na nataka nirudie hapa, kwamba Serikali ya Awamu ya Tano ikishirikiana na Halmashauri zetu, pamoja na Wakuu wa Mikoa na Wilaya itaweka mipango na taratibu nzuri na rafiki kwa aina ya shughuli ambazo baadhi nimezigusia. Aidha, ushuru usio wa lazima na wenye usumbufu kwa wafanyabiashara wadogo wadogo utokanao na shughuli nilizozitaja tutauondoa. Tunaamini ikiwa tutaweza kuongeza ukusanyaji mapato, na kuziba mianya ya wakwepaji wakubwa wa kodi ambao huipotezea Serikali mabilioni ya fedha tutakuwa hatuna sababu ya kufukuzana na kina mama na vijana mitaani. Viongozi na watendaji wa Serikali na hasa wa Halmashauri watenge maeneo kwa ajili ya wafanyabishara wadogo na waandae mipango ya kupunguza ushuru usio wa lazima.
Afya
Mheshimiwa Spika;
Dhamira ya kujenga uchumi wa kisasa na suala la kupambana na umasikini linakwenda sambamba na kuwa na wananchi wenye afya bora. Kwa kutambua ukweli huu na mahitaji ya huduma bora za wananchi wetu Serikali ya Awamu ya Tano itahakikisha kwamba wananchi wanapata huduma bora za afya kwa kufanya baadhi ya mambo yafuatayo:
• Kwanza, kuimarisha huduma za afya pale zilipo na kuanzisha pale ambapo hazipo. Lengo ni kuhakisha kwamba kila kijiji kinakuwa na Zahanati, kila Kata inakuwa na Kituo cha Afya, kila wilaya inakuwa na Hospitali, na kila Mkoa unakuwa na hospitali ya Rufaa.
• Pili, tutaimarisha na kuboresha huduma za afya kwa kuongeza utaalamu katika Nyanja za afya kwa kuwapatia mafunzo watumishi wake ndani na nje ya nchi; kwa kuzipatia vifaa bora na vya kisasa hospitali, vituo vya afya na zahanati zetu. Lengo la kufanya hivyo ni kuwezesha upatikanaji wa huduma mahsusi hapa hapa nchini na hivyo kutolazimika kupeleka watu wetu kutibiwa nchi za nje.
• Tatu, tutaongeza bajeti ya dawa na kuboresha mfumo wa upatikanaji ili kuhakikisha dawa zinapatikana katika hospitali, vituo vya afya na zahanati zetu. Aidha, tutahamasisha wananchi wajiunge na Bima ya Afya.
Elimu
Mheshimiwa Spika;
Natambua juhudi kubwa zimefanyika katika upanuzi wa elimu ya awali, msingi, sekondari na vyuo vikuu. Serikali ya Awamu ya Tano itajielekeza katika kuongeza ubora wa elimu inayotolewa ikiwa pamoja na na kuongeza mkazo katika masomo ya sayansi. Aidha, tutahakikisha kwamba vifaa vya kufundishia na kujifunzia vinapatikana ikiwa ni pamoja na maabara, vitabu, madawati, n.k. Tutahakikisha kuanzia Januari mwakani elimu kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne inatolewa bure, kama tulivyoahidi kwenye kampeni. Tutahakikisha kwamba wanafunzi wengi zaidi wa elimu ya juu wanapata mikopo kwa wakati. Tutashughulikia maslahi na kero za walimu wa ngazi zote ikiwa ni pamoja na kujenga nyumba za walimu vijijini na kuiunga mkono Benki ya walimu ili iweze kuwanufaisha zaidi.
Maji
Mheshimiwa Spika;
Wakati wa kampeni nimekutana na malalamiko mengi sana ya ukosefu wa maji. Serikali ya Awamu ya Tano itahakikisha kwamba inaongeza kiwango cha upatikanaji wa maji kufikia asilimia 85 kwa maeneo ya vijijini na asilimia 95 kwa maeneo ya mijini ifikapo 2020. Tutakamilisha miradi iliyokwishaanza na kuanzisha miradi mipya mikubwa na midogo ya maji kutoka katika mito, maziwa na vyanzo vingine vya uhakika vya maji ikiwa pamoja na kuvuna maji ya mvua. Tunataka tuwatue akina mama ndoo kichwani. Tunatambua umaskini hauwezi kuondoka nchini kama wananchi hawapati maji safi na salama.

Umeme
Mheshimiwa Spika;
Suala la upatikanaji wa umeme limeendelea kuwa tatizo katika nchi yetu pamoja na jitihada kubwa zilizofanywa na Serikali zilizopita. Hatuwezi kuzungumzia suala la kujenga viwanda wakati umeme hautoshi. Serikali yangu itahakikisha kwamba umeme unapatikana wa kutosha na wa uhakika. Tutakamilisha miradi ya umeme iliyopo na kujenga mingine mingi mipya ili wananchi wengi zaidi wanufaike na nishati ya umeme na viwanda vingi zaidi vidogo vidogo, vya kati na vikubwa vianzishwe.
Madawa ya Kulevya
Mheshimiwa Spika;
Madawa ya kulevya yamekuwa ni janga kubwa kwa taifa letu na kundi linaloathirika zaidi ni vijana wa kiume na kike. Familia nyingi zimeathirika na nguvu kazi ya taifa imepotea. Tutaushughulikia mtandao huo hususan wafanyabiashara wakubwa wanaojihusisha na madawa ya kulevya bila ajizi.
Mheshimiwa Spika;
Masuala mengine tutakayoyawekea mkazo katika utawala wa Awamu ya Tano ambayo ninaamini yatasaidia katika kujenga uchumi wetu ni pamoja na masuala ya Utalii, Mawasiliano, Madini, Ardhi na Makazi, Ujenzi na Miundombinu, Bandari, Barabara, Ulinzi na Usalama, utunzaji wa mazingira, Vijana, Wanawake, Watu wenye Ulemavu na Ualbino, Wazee, Wafanyakazi, Wasanii na Wanamichezo, wanahabari, wafanyabiashara, wawekezaji, wajasiriamali, sekta binafsi, n.k. Utekelezaji wa masuala haya umefafanuliwa vizuri katika Ilani ya CCM ya mwaka 2015. Tutayatekeleza ipasavyo.
Mapambano Dhidi ya Rushwa na Ufisadi
Mheshimiwa Spika;
Jambo moja nililolisemea kwa nguvu kubwa wakati wa kampeni ni mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi. Sikufanya hivyo kwa sababu nilitaka tu kuwarubuni wananchi ili wanipe kura zao na kunifanya kuwa Rais wao. Nililiongea jambo hili kwa dhati kabisa, na nilichokisema na kuwaahidi wananchi ndicho hasa nilichokikusudia.
Mheshimiwa Spika;
Wananchi wanachukia sana rushwa na ufisadi, na wamechoshwa na vitendo hivyo. Mimi pia ninachukia rushwa na ufisadi. Sifurahishwi kabisa na vitendo vya rushwa na ufisadi vinavyoendelea hapa nchini. Vitendo vya rushwa na ufisadi vinawanyima haki wananchi na kuitia hasara serikali kwa mamilioni ya fedha ambazo zingeweza kutumika kwa ajili ya kujenga miradi ya maendeleo kwa ajili ya watu wetu.

Mheshimiwa Spika;
Chama changu, Chama cha Mapinduzi, kimejengwa katika misingi ya kukataa rushwa na ufisadi. Ndio maana moja ya Imani kuu za CCM ni ile isemayo: “Rushwa ni adui wa haki, sitatoa wala kupokea rushwa”
Kwa Mtanzania mwaminifu kwa imani yake hatakuwa na kigugumizi katika kuwa mstari wa mbele katika kupambana na rushwa na ufisadi.
Mheshimiwa Spika;
Mmoja wa waasisi wa Taifa letu, Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliwahi kuifananisha rushwa na ufisadi ‘Kama Adui Mkubwa wa Watu’. Akiongea Bungeni Mei 1960, Mwalimu Nyerere alisema yafuatayo kuhusu rushwa:
“Rushwa [na ufisadi] havina budi kushughulikiwa bila huruma kwa sababu naamini wakati wa Amani rushwa na ufisadi ni adui mkubwa kwa ustawi wa watu kuliko vita.”
Mheshimiwa Spika;
Haya ni maneno makali ya mtu na kiongozi aliyeichukia na kuikemea rushwa katika maisha yake yote ya uongozi. Ni maneno yanayotukumbusha tu nini kinaweza kikatutokea kama taifa endapo tutaendekeza rushwa na ufisadi. Chuki za wananchi dhidi ya rushwa na ufisadi ni dhahiri, wamechoka kabisa, wamechoka sana, hawako tayari kuvumilia upuuzi wa serikali itayoonea haya rushwa na kulea mafisadi.
Mheshimiwa Spika;
Mimi nimewaahidi wananchi, na nataka niirejee ahadi yangu kwao mbele ya Bunge lako tukufu, kwamba nitapambana na rushwa na ufisadi bila kigugumizi na bila haya yoyote. Dawa ya jipu ni kulitumbua, na mimi nimejipa kazi ya kuwa mtumbua jipu. Najua kutumbua jipu kuna maumivu lakini bahati mbaya halina dawa nyingine. Hivyo ninaomba Waheshimiwa Wabunge na Watanzania wote mniombee na muniunge mkono wakati natumbua majipu haya.
Mheshimiwa Spika;
Ninafahamu ugumu wa vita niliyoamua kuipigana. Nasema nafahamu ugumu na changamoto zake kwa sababu wanaojihusisha na rushwa sio watu wadogo wadogo. Vitendo vya rushwa na ufisadi vyenye madhara makubwa kwa nchi na ustawi wa nchi yetu hutendwa na watu wenye dhamana kubwa za uongozi na utumishi ambazo wamezipata kutokana na ridhaa ya watu. Kwa hivyo ili niweze kufanikiwa lazima nipate ushirikiano mkubwa toka kwa Bunge lako tukufu na vyombo vingine vilivyopo na vyenye majukumu ya kupambana na vitendo hivi.
Aidha, tutashinda vita hii endapo wananchi pia watatuunga mkono. Sina mashaka kuwa kwa vile wao, kwa wingi wao, wanachukia rushwa na ufisadi, watakuwa tayari kutoa ushirikiano wao katika mapambano haya dhidi ya rushwa na ufisadi.
Mheshimiwa Spika;
Katika kushugulikia tatizo hili nimeahidi kuunda mahakama ya Rushwa na Ufisadi. Ni matumaini yangu vyombo husika katika jambo hili havitanikwamisha.
Aidha, nataka niahidi mbele ya Bunge lako tukufu kwamba, kiongozi yeyote wa kuteuliwa, ambaye mimi nitakuwa nimemteua kwa mamlaka niliyonayo kikatiba, na ninayo mamlaka ya kumwajibisha, pindi tu nikibaini na kujiridhisha kuwa anajihusisha na vitendo vya rushwa na ufisadi nitamtimua mara moja. Baada ya mimi kuchukua hatua hizo hatua na taratibu zingine za kisheria zitafuata.
Mheshimiwa Spika;
Ninachotaka kusema ni kuwa Serikali yangu itafuatilia kwa karibu mienendo ya viongozi na watendaji wake ili kubaini kwa haraka nani anajihusisha na vitendo vya rushwa na ufisadi. Na tukishajiridhisha hatutasubiri, tutachukua hatua. Ni imani yangu wengine pia katika ngazi mbalimbali mtafanya hivyo. Kwa sababu bila kufanya hivyo rushwa na ufisadi vitazoeleka na kuwa wimbo unaoburudisha badala ya kuudhi na kukera.
Muundo wa Serikali na Utumishi
Mheshimiwa Spika;
Nilipokuwa nazunguka na kuzungumza na wananchi wakati wa Kampeni za Uchaguzi, niliahidi kuwa nitaunda serikali ndogo ya wachapa kazi.
Aidha, niliahidi pia kuunda serikali ambayo itawatumikia watu na hasa wananchi wa kawaida. Serikali nitakayounda, nataka iwe inawahudumia wananchi kwa haraka na sio kuwasumbua sumbua na kuwazungusha. Natoa rai kwa watumishi wa serikali, hasa ambao ni wazembe na wavivu, kujiandaa. Wamevumiliwa kwa muda mrefu sasa basi. Kwa sababu watumishi wa aina hiyo hawatavumuliwa katika serikali nitakayoiongoza. Lugha za “hiyo ni changamoto tutaishughulikia”, au “Mchakato unaendeela” hazitavumiliwa katika Serikali ya Awamu ya Tano. Mimi nataka watu wa Kazi Tu. Hatuwezi kulea watu ambao wanalipwa mishahara lakini hawafanyi kazi wanazotakiwa kufanya, au wamegeuza ofisi za umma kuwa ni mahala pa kuchuma bila kufanya kazi.
Mheshimiwa Spika;
Pamoja na kuwataka watumishi wa Serikali kufanya kazi hatuna budi kuyaangalia na kuboresha mishahara na maslahi yao na mazingira yao ya kufanyia kazi kwa kuwapatia vitendea kazi bora na vya kisasa. Na jambo moja tutakalolitekeleza ni kuangalia namna ya kupunguza kodi ya mapato katika mishahara ya wafanyakazi yaani PAYE. Pia tutajitahidi kuwatambua na kuwapa motisha wafanya kazi wachapa kazi.
Kuongeza Mapato na Kupunguza Matumizi ya Serikali
Mheshimiwa Spika;
Kwa zaidi ya miaka mitatu sasa ukusanyaji wa mapato umekuwa chini ya makadirio kwa sababu mbalimbali. Serikali ya Awamu ya Tano itaongeza nguvu katika upanuzi wa wigo wa kodi na kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato. Tutahakikisha kwamba kila mtu anayestahili kulipa kodi analipa kodi stahiki. Hatutasita kumchukulia hatua mtu yoyote atakaye kwepa kulipa kodi. Tunawaomba wananchi mhakikishe mnapewa risiti kila mnaponunua bidhaa au huduma. Kodi ni kitu muhimu lazima kila mtu anayestahili kulipa kodi alipe.
Aidha, tutahakikisha kwamba kila senti inayoongezeka katika mapato ya Serikali inaelekezwa katika kutoa huduma bora zaidi kwa wananchi. Tutaziba mianya ya upotevu wa fedha za Serikali ambayo inaipunguzia Serikali uwezo wake wa kuwahudumia wananchi.
Mheshimiwa Spika;
Nitataja baadhi tu ya maeneo ambayo tutayasimamia kwa lengo la kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na kuziba mianya ya uvujaji wa fedha za Serikali:
Kwanza, safari zote zisizo za lazima nje ya nchi Serikalini tutazidhibiti na badala yake tutawatumia mabalozi wetu kutuwakilisha kwenye mikutano ya aina hiyo. Na pale inapolazimu kiongozi au mtumishi mwandamizi kusafiri tutahakikisa kwamba haandamani na msururu wa watu wengi ambao hawana umuhimu wala shughuli za kufanya katika safari hizo.
Katika kusisitiza hili napenda niwape takwimu za fedha zilizotumika ndani ya Serikali, Mashirika ya Umma na Taasisi nyingine za Serikali kwa safari za nje kati ya mwaka 2013/14 na 2014//2015. Jumla ya shilingi bilioni 356.324 zilitumika kwa ajili ya safari za nje kama ifuatavyo:
• Tiketi za ndege (Air ticket) zilitumia shilingi bilioni 183.160;
• Mafunzo nje ya nchi (Training Foreign) zilitumia shilingi bilioni 68.612;
• Posho za kujikimu (Per Diem Foreign) zilitumia shilingi bilioni 104.552;
Wizara na Taasisi zinazoongoza kwa matumizi ya safari za nje ni pamoja na Bunge, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikano wa Kimataifa, Wizara ya Fedha, Ofisi ya Waziri Mkuu, Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali (NAOT), Wizara ya Mambo ya Ndani, n.k.
Hizi fedha zingeweza kutumika vizuri kuboresha huduma za wananchi wa maisha ya chini, kama afya, maji, elimu, umeme n.k. Mfano; fedha hizi zingetosha kutengeneza kilometa 400 za barabara za lami, tujiulize zingeweza kutengeneza zahanati ngapi?, nyumba za walimu ngapi?, madawati mangapi? n.k. Hivyo tunapodhibiti safari za nje tunawaomba Waheshimiwa Wabunge na Watanzania wote mtuelewe na mtuunge mkono.
Pili, tutahakikisha tunadhibiti safari na ziara za mafunzo nje ya nchi zinazogharamiwa na serikali ambayo yanapatikana hapa nchini.
Tatu, tutadhibiti warsha, semina, makongamano, na matamasha ambayo kwa kweli yanatumia fedha nyingi tu za serikali lakini hayana tija na wala hayaongezi ufanisi katika utekelezaji na usimamizi wa sera na mipango ya Serikali.
Nne, tutasimamia kwa ukamilifu Sheria ya Manunuzi ya Umma ili kuhakikisha kwamba mianya yote ya fedha za umma inayotokana na usimamizi hafifu tunaiziba. Ni matarajio yangu kutakapoleta Mswada wa Marekebisho ya Sheria ya Manunuzi ya Umma Waheshimiwa Wabunge mtatuunga mkono.
Tano, tutasimamia na kudhibiti ukiukwaji wa maagizo na maelekezo mbalimbali yaliyokwisha kutolewa na Serikali siku za nyuma kuhusu ununuzi wa bidhaa kama samani kwa ajili ya matumizi ya Serikali. Samani zote kwa ajili ya matumizi ya Serikali zinatakiwa ziwe zile zinazozalishwa hapa hapa nchini.
Sita, Serikali ya Awamu ya Tano itasimamia kwa karibu na kuthibiti ununuzi wa magari ya gharama kwa ajili ya Viongozi na Watumishi waandamizi wa Serikali; na
Saba, tutaendelea kuchunguza na kudhibiti matumizi ya Serikali na Taasisi zake zote yasiyo na tija kwa uchumi wa taifa letu.
Mheshimiwa Spika;
Kwa ajili hiyo, vipaumbele vya Serikali ninayotarajia kuiunda vitakuwa ni: kupunguza urasimu ili kuongeza kasi ya utekelezaji wa maamuzi na miradi ya Serikali; kubana matumizi kwa kupunguza yale ambayo kutokana na hali yetu ya uchumi kwa sasa yanaweza kuepukika; na kurejesha nidhamu ya Serikali na utumishi wa umma kwa kuongeza uwazi na uwajibikaji.
Tutatekeleza vipaumbele hivyo kwa kufanya pamoja na mambo mengine kupunguza ukubwa wa Baraza la Mawaziri; kuongeza usimamizi katika ukusanyaji wa mapato ya kodi na maduhuli ya Serikali kwa kuziba mianya ya ukwepaji kodi, tutahakikisha kwamba wale wote wanaotakiwa kulipa kodi wanalipa ipasavyo. Tutaongeza nidhamu ya matumizi ya Serikali ili kuhakikisha fedha zinazookolewa zinakwenda kwenye miradi ya maendeleo; na kusimamia sheria, kanuni na taratibu za uwajibikaji wa viongozi na watumishi wa umma ili wawajibike kwa wananchi ambao ndio wateja na waajiri wakuu wa watumishi wa umma. Serikali ya Awamu ya Tano itaendelea kubainisha maeneo mengine ya matumizi yasiyo ya lazima ambayo yanaigharimu Serikali fedha nyingi na kuyadhibiti. Aidha, nitoe wito kwa Watanzania wote kila mmoja wetu afanye kazi iwe shambani, ofisini, kiwandani, sokoni, n.k. Badala ya tabia ya sasa iliyoanza kujengeka kwa Watanzania kutokupenda kufanya kazi na hivyo kupoteza muda mwingi vijiweni, muda ambao ungetumika kufanya kazi ndiyo maana kauli mbiu yangu ni HAPA KAZI TU!
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Kikanda na Kimataifa
Mheshimiwa Spika;
Nchi yetu imepata mafanikio makubwa katika Nyanja ya diplomasia na ushirikiano wa kimataifa katika awamu zilizotangulia za uongozi. Serikali yangu itaendeleza sifa hiyo kwa kujenga juu ya msingi imara uliowekwa na awamu zilizotangulia na awamu ya nne chini ya Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete. Tutaendelea kuwa waumini na tutaendeleza sera ya ujirani mwema na nchi zinazotuzunguka kwa lengo la ustawi wa watu wetu na maslahi mapana ya nchi yetu. Tutaendelea kuwa waaminifu wa utangamano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na daima tutatekeleza wajibu wetu kwa mujibu wa Mkataba wa Uanzishwaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, itifaki zake na maamuzi ya vikao vya nchi wanachama. Tutaendelea kutekeleza matakwa ya Mkataba huu wa kujenga utengamano wetu hatua kwa hatua.
Mheshimiwa Spika;
Tanzania itaendelea kuwa mwanachama mwaminifu wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na kuendelea kushirikiana kwa karibu na nchi wanachama ambao tunauhusiano wa kihistoria na kidugu. Tutaendelea kuamini katika Umoja wa Afrika (AU) na azma ya ndoto ya waasisi wetu ya kuunganisha bara la Afrika. Tutaendelea pia kushiriki kikamilifu katika Jumuiya ya Nchi za Maziwa Makuu (ICGLR) na kushirikiana na nchi wenzetu wanachama kutafuta majawabu ya kudumu ya amani, usalama na maendeleo katika eneo la maziwa makuu.
Tutaendeleza na kustawisha mahusiano na marafiki zetu wote Magharibi, Mashariki ya Mbali na Mashariki ya Kati kwa lengo la kushirikiana kwa maslahi ya nchi zetu na watu wetu. Tutapenda kutumia fursa nzuri ya mahusiano yetu mazuri kisiasa kukuza mahusiano yetu ya uchumi kwa kutumia diplomasia ya uchumi. Tutafanya hivyo pia kwa ushirikiano wa kimataifa kwa kuendeleza mahusiano yetu na Umoja wa Mataifa (UN) na taasisi zake, Jumuiya ya Madola, Benki ya Dunia, Shirika la Fedha Duniani (IMF) na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), n.k.
Aidha, tutazitaka Balozi zetu zionyeshe matunda yanayolingana na thamani ya fedha tunazowapelekea hususan katika kuvutia uwekezaji, biashara, utalii na mchango wao katika ukuzaji wa sekta ya viwanda. Tunataka kuona diplomasia yetu na Sera yetu ya nje ikijibu changamoto zetu za ndani za ajira, miundombinu, masoko ya mazao ya wakulima, viwanda n.k.
Hitimisho
Mheshimiwa Spika;
Naomba kabla ya kuhitimisha nitoe wito kwa Waheshimiwa Wabunge, Bunge hili linalo nafasi ya kuweka historia ya kuwa kitu kimoja na kuweka masilahi ya Taifa mbele. Kama kuna kitu ambacho wananchi wanachukia ni lugha za vijembe, mipasho, na ushabiki wa vyama bungeni. Kwanza, tukumbuke wote bila kujali itikadi za vyama vyetu sisi ni kitu kimoja; na pili tumechaguliwa kuwawakilisha wenzetu. Baada ya miaka mitano kila mmoja atarudi kwenye jimbo lake kuomba kura na huko atapimwa kwa maendeleo aliyopeleka.
Tusimame pamoja, Tanzania ni yetu sote tutangulize masilahi ya nchi mbele, na kwa mara ya kwanza Watanzania waone Bunge tofauti na sio Bunge la kuzomea, kutoka nje, kutukanana, mipasho, n.k. Tunaitwa Waheshimiwa kwa heshima ya dhamana tuliyopewa na Bunge hili Tukufu, tutunze heshima hiyo ili tuzidi kuheshimiwa.
Aidha, napenda kusisitiza kuwa kazi iliyoko mbele yetu ni kubwa. Matarajio na matumaini ya Watanzania waliotuchagua na kutupa ridhaa ya kuwaongoza katika kipindi cha miaka mitano ijayo ni makubwa. Wanachotaka kuona ni nchi yetu kupiga hatua kubwa za maendeleo zitakazojibu matumaini yao na kutatua shida na kero zao. Nyie na mimi, baada ya miaka mitano toka sasa, tutapimwa kwa namna tutakavyokuwa tumetekeleza mambo ambayo tumewaahidi Watanzania wenzetu. Mimi nina amini kabisa kwa ushirikiano wetu na kwa kufanya kazi kwa bidii na ubunifu tutaweza kuzitimiza ndoto za Watanzania wenzetu.

Mheshimiwa Spika;
Sasa natamka kwamba nimelifungua rasmi Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Asanteni kwa kunisikiliza!

Mungu libariki Bunge letu na Wabunge wake!
Mungu Ibariki Afrika!
Mungu Ibariki Tanzania!
Ahsanteni kwa kunisikiliza.

 
Leave a comment

Posted by on November 24, 2015 in General Knowledge, Tanzania News

 

Tags: , ,

MERU LOGISTICS KAMPUNI YA UHAKIKA YA KUSAFIRISHA MIZIGO KUTOKA UK KUJA TANZANIA‏

 
Karibu Meru Logistics kwa huduma nzuri, safi, zenye uhakika na haraka kutuma mizigo kutoka UK kwenda Tanzania.
 
Wasiliana nasi pia kama unahitaji chochote kutoka UK kama vile magari, matractor, fridge, TV, Vyombo nk. tuta kusaidia kununua na kukutumia mpaka Tanzania bila tatizo lolote na vitafika salama kabisa
 
Bei za kutuma mizigo ni kama ifuatavyo:
 
20′ CONTAINER TO DAR /MOMBASA FROM £1,300 
40′ CONTAINER TO DAR /MOMBASA FROM £1,800
4X4 TO DAR/MOMBASA FROM £850
SALOON CARS TO DAR/ MOMBASA FROM £750
AIR CARGO TO DAR £5 A KILO
AIR CARGO TO ZNZ £4 A KILO 
INCLUSIVE CLEARANCE
TO COLLECT CARGO LONDON FROM £25 
TO COLLECT CARGO OUTSIDE LONDON FROM £50
ONCE YOU PAY HERE IN UK YOU DONT PAY ANYTHING IN TANZANIA
(UKIISHA LIPA UK UNAKWENDA TU KUCHUKUA MZIGO WAKO)
Address in UK: Unit 12 Manor Way Business Centre
Marsh Way, Rainham, Essex
RM13 8UG
 
COLLECTION POINT IN DAR IS:
 DAR FREE MARKET, ALI HASSAN MWINYI ROAD
OYSTER BAY NEAR KENYAN EMBASSY & DSTV
Telephone: +44 (0) 1708554632
Instagram: @merulogistics 
Facebook: Meru Logistics
 
CUSTOMER SATISFACTION GURANTEED!!!
 
Leave a comment

Posted by on November 10, 2015 in Business News

 

Tanzania Shilling sinks to four months low‏

Tanzania Shilling sinks to four months low‏
THE shilling has sunk to four months low last week following heavy demand of US dollars from energy and manufacturing sectors.

The shilling crossed that level in this May.

The national microfinance bank said the market closed last Friday around 2,148/2,208 levels following mounting pressure from importers.

“Continued dollar demand from retailers and manufactures weighed on the local currency (Friday’s) volatile trading session” NMB said in e-Market report.

Another bank has it that the shilling was still under pressure from heavy demands from the energy and manufacturing sectors for the dollar.

“The local currency closed last week another 4 shillings weaker at the levels of 2179/2199 against the greenback,” CRDB bank said.

While Tanzania shilling nose dived deeper, its counterpart was unchanged last Friday, with traders expecting it to trade in tight range through the session.

At 0715 GMT, commercial banks posted the shilling at 103.00/10 to the dollar, unchanged from Thursday’s close.

“There has been no change overnight, it’s a dead market,” said a trader at one Nairobi-based commercial bank. “We expect trading between 103/- and 103/20 all day.”

He added the Kenya shilling, down about 14 per cent against the dollar this year, was unlikely to strengthen much as some companies had orders to buy dollars as soon as the local currency dipped below the 103/- level.

Both shillings may have been affected negatively after the dollar pulled away from seven-week lows on Friday, after better-than expected US inflation data kept alive bets the Federal Reserve would raise interest rates this year, and as expectations grew for more euro zone easing.

 
Leave a comment

Posted by on October 20, 2015 in Business News, Finance, Tanzania News

 

Tags: , , , , ,

DSE makes huge turnaround‏

DSE makes huge turnaround‏
THE Dar es Salaam Stock Exchange (DSE), equity market marked huge turnaround after registering total turnover of 24.35bn/-compared to 8.58bn/- of the previous session with TBL and CRDB Bank emerging top traded equities.

According to Zan Securities Limited Weekly Wrap-ups, TBL and CRDB contributed to 74.59 percent and 14.34 percent of the week’s total turnover respectively.

Similarly, TBL emerged as the top gainer dominating the price movement within local listed companies after experiencing 200/- or 1.33 percent price increase to close at 15,200/- per share.

Meanwhile, Simba emerged as the top loser to close the week with the largest price drop for local listed companies after experiencing a 350/- or 11.11 percent price decrease to close at 2,800/- per share.

Comparatively, key benchmark indices were in both the green and red territory during the week with the Tanzania Share Index (TSI) capped at 4,611.29 points, higher by 0.41 percent compared with 4,592.45 points posted in the previous period.

The All Share Index (DSEI) closed at 2,403.58 points, lower by 0.25 percent compared with the week before to close at 2,409.71 points.

Three sector indices closed off both in green and red territory with Industrial and Allied experiencing an increase, closing at 6,158.12 points up by 0.44 percent compared to previous week closing at 6,130.88 points.

Banks, Finance and Investment Index experienced an increase by 0.42 percent to close at 3,099.01 points compared to close at 3,086.15points. Commercial Services Sector experienced a decrease by 0.53 percent to close at 3,915.58 points compared to 3,936.51 points of the period before.

Total market capitalisation experienced decrease by 0.27 percent compared to the previous week, closing at 21.05tri/-.

Domestic market capitalization experienced an increase by 0.41 percent to close at 9.77tri/-.

 
Leave a comment

Posted by on October 20, 2015 in Tanzania News

 

Tags: , , , , ,

BUSINESS TERM: Sleeping Beauty

BUSINESS TERM: Sleeping Beauty

DEFINITION of ‘Sleeping Beauty’ in Finance:

A company that is considered prime for takeover, but has not yet been approached by an acquiring company. A company may be considered a sleeping beauty for a variety of reasons, including large cash reserves, undervalued real estate, undervalued share price, attractive assets or strong growth and earnings potential. A takeover, or acquisition, is typically characterized by the purchase of a smaller company by a larger firm. The acquiring company generally offers a cash price per share, thereby purchasing the target outright for its own shareholders.

In relation to mergers and acquisitions (M&A), a sleeping beauty is a company that is “sleeping;” that is, one that is ripe for takeover to achieve its full potential. A sleeping beauty might be a new company that has great potential but has not yet been noticed, or it could be an established company that has not been managed well, and is therefore not maximizing its potential. A sleeping beauty essentially lies in wait until a takeover occurs, at which point the company theoretically would be able to live up to its potential.

Gain the Financial Knowledge you Need to Succeed by Subscribing to our Blog Posts.

 
1 Comment

Posted by on October 19, 2015 in Uncategorized

 

JK lists NMB Bank among success stories‏

JK lists NMB Bank among success stories‏
president Jakaya Kikwete with NMB Staff at the Launching Ceremony

president Jakaya Kikwete with NMB Staff at the Launching Ceremony

PRESIDENT Jakaya Kikwete has inaugurated 65 million US dollars (140bn/-) worth state-of-the-art National Microfinance Bank (NMB) building and pledged continued government support to the bank’s efforts to promote financial inclusion.

The modern building with capacity to accommodate over 1000 staff, modern rooms, canteen to cater for all staff and modern private bank proves the solidity and sustainability of the bank.

With the widest network of more than 170 branches and over 600 ATMs as well as 95 per cent coverage of all districts.

“NMB Bank is one of the successful and model of privatisation stories. It pays dividends as well as various taxes to the government,” President Kikwete said in Dar es Salaam at the weekend while pointing finger to other public institutions are still depending on government subsidy.

He said NMB success as the best and most profitable Tanzanian bank followed a transformation process done during his 10 years term in office.

Government has 30 per cent stake in the bank and 20 per cent is owned by Tanzanians through the Dar bourse.

He urged the bank to continue promoting financial inclusion to reach more the financially under-served population.

Tanzania is the global leader in providing mobile money banking.

“When I became president 10 years ago, NMB was a very small bank and was referred as the proletariat bank, but today it is the biggest bank in the country with the widest network, the most profitable and sustainable bank. I am very proud of you,” he said.

Also Mr Kikwete launched a modern private banking located at the new head office powered by four teller cubicles and two ATM machines. It is the third after NMB Bunge Dodoma and NMB Oyster plaza branch in Masaki.

Most of the money spent in constructing the seven storey building was paid to local contractors with few foreign contractors.

Rais Jakaya Kikwete akikata utepe kufungua jengo la makao makuu ya NMB jijini Dar es Salaam.
The NMB Bank Managing Director, Ms Ineke Bussemaker, said the new head office reflects the priorities of the bank as it complies with all standards set by the bank.

“The building is a symbol of what NMB can achieve together, it consumes spacious working area, modern and stylish features with high end finishing, high safety detectors and fire systems with number of meeting rooms for staff, customers and visitors, semi-industrial kitchen,” she said.

 
Leave a comment

Posted by on October 19, 2015 in Business News, Tanzania News

 

Tags: , , , , , , , ,

Vietnam’s military-run mobile firm launches in Tanzania‏ Through Halotel

Vietnam’s military-run mobile firm launches in Tanzania, invests $736 mln

halotel-725x437

Vietnam’s state-run telecoms operator Viettel launched mobile and internet services in Tanzania on Thursday after investing $736 million (Sh75.80 billion) in East Africa’s second-biggest economy.

Tanzania’s mobile telecoms sector has grown rapidly over the past decade, driven by demand for third-generation (3G) mobile services.

The number of mobile phone subscribers in Tanzania rose by 16 percent in 2014 to 31.86 million, according to the country’s telecoms regulator.

A statement issued by Viettel, which is run by Vietnam’s Ministry of Defence, said the company will trade as Halotel in Tanzania and would offer both 2G and 3G services.

“With an initial investment of $736 million … Viettel’s operations have enabled services to all 26 regions in the country across rural and urban areas,” it said.

“Viettel’s new investment in Africa follows the rollout of services in Burundi and Cameroon … earlier this year and in Mozambique … in 2014.” Viettel said it had built 18,000 km of optical cable and more than 3,000 base transceivers, giving it coverage for up to 81 percent of Tanzania’s population of over 47 million.

The company will compete with four other main operators in Tanzania: Vodacom Tanzania, owned by South Africa’s Vodacom , Bharti Airtel, Tigo Tanzania, which is part of Sweden’s Millicom and Etisalat – owned Zantel.

Three other mobile operators – state-run TTCL, Benson and Smart – have a small market share. The Tanzanian president’s office said last year Viettel plans to invest $1 billion (Sh103 billion) in a new 3G mobile phone network in the country.

Like other African countries, mobile phone use has rocketed in Tanzania over the past decade, with telecoms the fastest-expanding sector in the country.

Viettel operates in markets in Asia, Latin America and Africa, and has around 75 million subscribers worldwide, according to its website. Its revenues in 2014 were $9.8 billion (Sh1 trillion) and it is aiming for a 20 percent increase in 2015.

SOURCE: Reuters

 
2 Comments

Posted by on October 19, 2015 in Business News, Tanzania News

 

Tags: , , , , , , ,

Dar es Salaam Stock Exchange Report‏

Market Report

Thursday, 15 October 2015

Company Closing Price Prev Closing Price Price Change (%)
ACA 7,100 7,160 -0.84
CRDB 370 370 +0.00
DCB 580 585 -0.85
EABL 5,340 5,370 -0.56
JHL 8,070 9,470 -14.78
KA 110 110 +0.00
KCB 880 860 +2.33
MBP 600 600 +0.00
MKCB 1,000 1,000 +0.00
NMB 2,810 2,800 +0.36
NMG 2,920 2,920 +0.00
PAL 470 470 +0.00
SWALA 500 500 +0.00
SWIS 7,250 7,370 -1.63
TBL 15,200 15,200 +0.00
TCC 16,330 16,300 +0.18
TCCL 3,140 3,150 -0.32
TOL 770 770 +0.00
TPCC 3,340 3,340 +0.00
TTP 650 650 +0.00
USL 210 210 +0.00

Total Market Capitalization – TZS 20,866.80 bln (USD 9,620.40 mln)

 
2 Comments

Posted by on October 17, 2015 in General Knowledge

 

Tags: ,

Seven ways to captivate a Corporate Audience‏

PUBLIC SPEAKING
You may find yourself given the opportunity to make a presentation or speak at a forum that could either catapult your career or kill it. Here are seven ways to take advantage of this kind of exposure and maximize your chances of success:

1. Involve your audience: Listeners want to be engaged, not bored. Give them a reason to sit through your presentation. Throw out the old rule of starting with a joke; bad idea if you’re not Chris Rock. Injecting a humorous aside is perfectly acceptable, but throwing out such an aside is a lot different than starting with,

“Two guys walk into a bar …”. Instead, start by asking a question. It brings your listeners into the discussion, and sets an informal, but positive tone. Another technique used by master presenters is to refer to one or two people in the audience by name.

2. Be animated: The best presentations are given by people who are animated in both body language and vocal delivery. Resist the temptation to hide behind a podium or stand still. Walk among your audience as you speak. Stop every once in a while, placing your hand gently on one of your listeners’ shoulders (it might help to know the person the first few times you do this).

3. Deliver the goods: Spend time working on your delivery. Nobody expects you to sound like a television anchor, but it does help to have a pleasant and engaging vocal quality. Vary the tone of your voice, your volume, the speed at which you talk, and learn to pause for impact.

4. Avoid distracting habits: Nothing kills a presentation more quickly than distracting habits. I watched a CEO lose his audience by constantly playing with the change in his pocket for an entire hour. Videotape yourself to take note of your poor habits.

5. Dress the part: Dress like the leader that you are. Wear clothes that are appropriate for your industry culture, but a little nicer than those of your peers in the audience.

6. Keep it fresh: Avoid repeating the same stories time and again. Change it up. Weave current events into your presentations, and modify them to appeal to a particular audience.

7. Rehearse: Rehearsing your presentation will certainly set you apart because few of your competitors do so. Most people glance at their notes or slides a few minutes prior to taking the podium, but great speakers know how they’re going to start and finish;

they know when to walk into the audience and when to place their hand on someone’s shoulder. Rehearsing will help you look and sound more polished.

 
Leave a comment

Posted by on October 16, 2015 in Books and Articles Reviews

 

Tags: , , ,

7 companies sidelined from public procurement‏

Ambassador Matern Lumbanga - PPRA Board Chairman

Ambassador Matern Lumbanga – PPRA Board Chairman

THE Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) has debarred seven firms, one of
them for a period of ten years, from participating in public Procurement.

This was announced in Dar es Salaam yesterday by PPRA Board Chairman, Ambassador Matern Lumbanga, who revealed that Morogoro-based Gagaja Contractors Company Limited will be sidelined until October 1, 2025.

“The firm submitted to the Ministry of Agriculture, Food Security and Cooperatives
forged bid securities in respect of tender for the proposed construction of warehouse in
Mombo-Korogwe, Mkula-Kilombero, Mkindo-Mvomero, Uturo-Mbarali, Lekitatu -Arumeru
and Bagamoyo IDPBagamoyo irrigation scheme,” he stated.

He said six other firms will each serve a two-year suspension for failure to meet their
contractual obligations.

According to him, the debarment move is in line with the Public Procurement Act,
2011 and Regulation 98 of the Public Procurement Regulation, 2013.

Ambassador Lumbanga said the legislations give PPRA the mandate, where there are
justifiable grounds to debar a firm or an individual from participating in public Procurement
proceedings and notify all procuring entities on such action.

“The notice intends to inform the public that debarment of seven firms is effected by the
Authority and that procuring entities shall not procure, contract with, or engage the said
firms in public Procurement proceedings during the period,” he noted.

The six firms are Intersystem Holdings Company Limited, based in Dodoma, PEMA
TECH Company Limited (Dar es Salaam), Nyakire Investment Limited (Dar es Salaam),
Kosemwa Prospects Company Limited (Dar es Salaam), Perntels Company Limited (Dar)
and Car and General Trading Limited (Dar).

Meanwhile, overall compliance level of audited Procuring Entities (PEs) in the country
has increased from 65 per cent last year to 69 per cent this year, which is, however, below
the 75 per cent target set for the Financial Year 2014/15.

 
4 Comments

Posted by on October 7, 2015 in Tanzania News

 

Tags: , , , ,

Kampuni 7 zafungiwa zabuni‏ za Umma

MAMLAKA ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA), imezifungia kushiriki zabuni za
umma, kampuni saba pamoja na wakurugenzi wake kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo kukiuka mikataba waliyoingia na taasisi nunuzi na vitendo vya udanganyifu.

Mwenyekiti wa Bodi ya PPRA, Balozi Matern Lumbanga alisema jana kuwa katika kampuni hizo, sita zimefungiwa kwa kipindi cha miaka miwili kuanzia Oktoba 2, 2015 hadi Oktoba mosi 2017 kwa kukiuka masharti ya mikataba.

Aidha alisema kampuni moja imefungiwa kwa kipindi cha miaka kumi kuanzia Oktoba 2, 2015 hadi
Oktoba mosi 2025 kwa kuwasilisha dhamana za zabuni za kughushi wakati wa michakato ya zabuni.

Alizitaja kampuni zilizofungiwa kuwa ni M/s Intersystem Holdings Company Ltd ya Dodoma, M/s
PEMA TECH Company Limited ya Dar es Salaam, M/s Nyakire Investment Limited ya Dar es Salaam, M/s Kosemwa Prospects Company Limited ya Dar es Salam, M/s Perntels Company Limited ya Dar es Salaam na M/s Car and General Trading Limited pia ya Dar es Salaam.

Pia aliitaja kampuni ambayo imefungiwa kwa miaka 10 kuwa ni M/s Gagaja Contractors Company
Limited ya Morogoro .

Aidha Balozi Lumbanga alisema PPRA ipo mbioni kuanza kutumia mfumo mpya wa manunuzi kwa
njia ya kielektroniki (e-procurement system) ambao utasaidia kukomesha watu ambao wamekuwa wakibadilisha majina ya kampuni.

 
Leave a comment

Posted by on October 7, 2015 in Tanzania News

 

Tags: , , ,

A CALL TO ACTION: JOIN THE AGIP MOVEMENT

A CALL TO ACTION: JOIN THE AGIP MOVEMENT

If you think the politics of your country needs to change – and I know many of you share this desire strongly – stop the paralysis analysis and do something. Join the AGIP movement and support your government. There is an unwritten rule in business that bad people chase away good people, and the reverse is also true.

We need a better future for our children and the next generation. The late Lee Kuan Yew of Singapore moved his country from a third world to a first world country in one generation . Lets do it !

WHAT IS AGIP:

AGIP (Any Government in Power) will be an entity of well respected, well-to-do and reputable business and civic leaders whose primary objective for existence will be to support any government in power.

AGIP will be interested in good governance, prosperity, and creating an enabling environment for investments and social development. Members will have interests to protect but these will be by and large interests that should align with the next generation.

WHO IS AGIP:
AGIP is a lobby group comprising a country’s finest men and women who have too much to lose if the government becomes dysfunctional.

This group’s sole purpose is to support government initiatives by providing a platform for strategic conversations between government and the private sector, including challenging policies and programs the same way shareholders would challenge management in the private sector.

Each country in Africa will endeavor to build up a minimum of one hundred thousand active AGIP members in and these should be well-meaning, enlightened and high-calibre members of society who are fed up with mediocrity and the cancer brought on by corruption and inexperienced leadership.

JOIN US

 
Leave a comment

Posted by on October 7, 2015 in General Knowledge, Uncategorized

 

Tags: , , ,

Extreme poverty to fall‏

World BankTHE number of people living in extreme poverty is likely to fall for the first time below 10 percent
of the world’s population in 2015, the World Bank said on Sunday as it revised its benchmark for
measuring the problem.

Extreme poverty has long been defined as living on or below $1.25 a day, but the World Bank’s adjustment now sets the poverty line at $1.90 a day.

The Bank said the change reflects new data on differences in the cost of living across
countries, while preserving the real purchasing power of the previous yardstick.

Using the new benchmark, the World Bank projects that 702 million people or 9.6 percent of
the world’s population will be living in extreme poverty in 2015, down from 902 million
people or 12.8 percent of the global population in 2012.

The global development lender attributed the continued fall in poverty to strong economic
growth rates in emerging markets, particularly India, and investments in education, health,
and social safety nets.

“… these projections show us that we are the first generation in human history that can end
extreme poverty,” World Bank Group President Jim Yong Kim said in a statement.

However, he warned that slower global growth, volatile financial markets, conflicts, high youth unemployment and the impact of climate change were obstacles to meeting a U.N. target
to end poverty by 2030, part of a new set of development goals adopted by 193 countries at the
United Nations last month.

“But it remains within our grasp, as long as our high aspirations are matched by country-led plans that help the still millions of people living in extreme poverty,” Kim added.

According to the Bank, around half of those living in extreme poverty by 2020 will hail from hard-to-reach fragile and conflict-affected states. Sub- Saharan Africa accounts for some
half of the global poor.

Expects said the prospect of emerging economies losing steam could challenge promises
to eradicate extreme poverty.

“If economic growth of the developing world over the last 15 years was an anomaly, was
a blip, then we’re in trouble,” said Laurence Chandy, a fellow at the Brookings Institution
whose research focuses on global poverty.

“If instead it’s a kind new normal then we’ve got a good chance of getting close to this goal,” he told the Thomson Reuters Foundation. The World Bank first introduced a global poverty line
in 1990, setting it at $1 a day. It was adjusted last in 2008, when the group raised it to $1.25 a day.

Across the planet, the number of people living in extreme poverty has dropped by more than half since 1990, when 1.9 billion people lived under $1.25 a day, compared to 836 million in 2015, according to the United Nations.

This follows the adoption in 2000 of the Millennium Development Goals (MDGs), which included the eradication of extreme poverty.

 
Leave a comment

Posted by on October 7, 2015 in International News

 

Tags: , , , ,

TAASISI YA WANAWAKE WAHASIBU TANZANIA KUZINDULIWA HOTELI YA HYATT REGENCY KILIMANJARO DAR ES SALAAM KESHO

 Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake Wahasibu Tanzania (TAWCA), Neema Kiure- Mssusa (wa pili kulia), akiwaonesha waandishi wa habari cheti cha usajili wa taasisi hiyo Dar es Salaam leo asubuhi, wakati wa mkutano uliohusu uzinduzi wa taasisi hiyo utakaofanyika leo Hoteli ya Hyatt Regence (Kilimanjaro Hoteli). Kutoka kulia ni Mratibu wa Taasisi hiyo, Rose Majuva, Mwenyekiti, Bahati Geuzye na mmoja wa waanzilishi wa taasisi hiyo, Anna Shanalingingigwa.
 Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
 Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Mratibu wa Taasisi hiyo, Rose Majuva (kulia), akizungumza katika mkutano huo. Katikati ni  Mwenyekiti wa taasisi hiyo, Bahati Geuzye na Mmoja wa waanzilishi wa taasisi hiyo, Anna Shanalingingigwa.
 
 
 
CHAMA cha Wanawake Wahasibu Tanzanaia (TAWCA), kitazinduliwa rasmi leo katika Hoteli ya Hyatt Regency (Kilimanjaro jijini Dar es Salaam baada ya kupata usajili.
 
Hata hivyochama hicho  kimetoa changamoto kwa wanafunzi wa kike kujifunza masomo ya hesabu ,ikiwa ni katika kujiandaa kuwa wahasibu wa badae.
 
Akizungumza Jijini Dar es Salaam leo Mwenyekiti wa chama hicho, Bahati Geuzye alisema wamefikia hatua hiyo baada ya kuona wahasibu wa kiume ni wengi kuliko wa kike.
 
Alisema idadi ya wanawake wanaosoma masomo ya hesabu hawazidi 100 kitu ambacho kimewapelekea wao kuanzisha chama kwa ajili ya kuinua watoto wa kike.
 
“Ukienda kwenye ofisi nyingi zilizopo nchini wahasibu wanaume ni wengi kuliko wanawake ,ifikie wakati tukiongelea haki sawa basi na sisi tuonyeshe kweli hari ya kutaka kuwa kwenye haki sawa,”alisema Geuzye.
 
Geuzye alisema wazo la kuanza kwa chama hicho ulianzishwa na bodi ya wahasibu wanawake ikiwa ni katika kumuimarisha mwanamke  na kumfanya ajishughulishe na masuala ya kihasibu zaidi.
 
Mratibu  wa chama hicho Rose Majuva, alisema  kuwa wamekuja kutoa nafasi kwa wanawake kupewa nafasi za ngazi ya juu ambazo kwa sasa hawazipati.
 
Majuva alisema watakuwa wakitoa mafunzo mepesi ikiwa ni njia ya kuwafanya wanawake kuelewa na kufanya mambo mazuri .
 
Alifafanua kuwa wanatarajia kujenga mazinjgira   rafiki kwa ajili ya kusaidia wananwake wahasibu na wakaguzi wa hesabu kufikia malengo yao kitaaluma, kibinafsi na kiuchumi.
 
“Wanachama watakuwa ni wanawake wenye vyeti vya uhasibu vinavyotolewa na    Bodi  kwa ngazi zote,”alisema Majuva.
             Picha Na Dotto Mwaibale
 
Leave a comment

Posted by on October 5, 2015 in Tanzania News

 

Tags: , , ,

Global economic weakness to last into 2016‏

IMF Managing Director, Christine Lagarde.

IMF Managing Director, Christine Lagarde.

A relentless deceleration in the economies of the developing world will cause global growth to slow this year and only pick up a bit more pace in 2016, the head of the International Monetary Fund said on Wednesday.

In a speech that previewed a report on global growth due next month, IMF Managing Director Christine Lagarde held back from giving specific estimates.

But her comments appeared to be more pessimistic than the global lender’s forecast made in July, just before global financial markets erupted into turmoil over concerns that China’s economy could crash.

Lagarde said China needs to keep trying to rebalance its economy away from commodity-intensive investment but also must be careful to safeguard “demand and financial stability.”

In a survey of the global economy, she said growth was picking up in the euro area and Japan and still looked robust in the United States and Britain.

“The not-so-good news is that emerging economies are likely to see their fifth consecutive year of declining rates of growth,” she said.

“Global growth will likely be weaker this year than last, with only a modest acceleration expected in 2016,” she said.

In July, the IMF forecast a marginal slowdown in global growth this year to 3.3 per cent from 3.4 per cent in 2014, with a rebound to 3.8 per cent growth in 2016.

Lagarde warned there could be a “prolonged period” of low prices for the commodities that are central to the economies of many developing countries.

She urged emerging markets to diversify their economies and said some of them might be ill prepared to weather the financial storm that could arise when the U.S. Federal Reserve eventually raises interest rates.

“We are concerned about their capacity to buffer shocks,” Lagarde said.

Policy makers in emerging markets should keep a closer eye on company debts denominated in dollars as well as to the banks that lent to them, she said.

The IMF said on Tuesday emerging market firms have racked up debts of $18-trillion and rate hikes in the developed world could spur a rash of corporate bankruptcies.

 
Leave a comment

Posted by on October 5, 2015 in International News

 

Tags: , , , , , , ,

CRDB employs 600 new staff‏

CRDB BANK Managing Director, Dr Charles Kimei

CRDB BANK Managing Director, Dr Charles Kimei

THE CRDB Bank PLC employed over 600 new employees during the last financial year as it seeks to expand and improve its services, the bank’s Managing Director, Dr Charles Kimei, has revealed.

Dr Kimei made the revelation over the weekend at CRDB Azikiwe Premier Branch during
the launch of ‘customer care week’, boasting that the bank was being led by Tanzanians.

The customer care week, according to the banker, is marked to enable employees of
the bank to weigh performance of the bank by meeting with customers.

“Last year our slogan during the customer week was ‘Thank you’ and this year is ‘Thank you
very much’ indicating that we have been able to please many of our customers,” Dr Kimei noted.
One of CRDB’s customers, Ms Rose Rimoi, applauded the bank for improving services and
treating customers with care.

“I have been accessing services at the Azikiwe Premier Branch for the last four years
and I can attest that services have been improving since then,” Ms Rimoi remarked.

The Azikiwe Branch Manager, Fabiola Mussula, said the bank will continue improving services by meeting with customers to understand their needs.

During the week, employees of the bank will engage in corporate social responsibilities

 
Leave a comment

Posted by on October 5, 2015 in Business News, Tanzania News

 

Tags: , , , ,

President Buhari to appoint himself oil minister

President Buhari to appoint himself oil minister

President Muhammadu Buhari will hold Nigeria’s oil portfolio in his new Cabinet, rather than trust anyone else with the source of most of Nigeria’s revenue, he told Reuters on Tuesday.

“I intend to remain the minister of petroleum resources,” Buhari said in an interview on the sidelines of the annual meeting of world leaders at the United Nations General Assembly in New York.
A minister of state will oversee the day-to-day issues of the petroleum sector, he said.
Buhari has not named a Cabinet but is expected to submit candidates to parliament in the coming days.
A former general who briefly ruled Nigeria 30 years ago, Buhari has deep knowledge of the oil sector, having been head of the Petroleum Trust Fund under military ruler Sani Abacha in the 1990s and oil minister in the 1970s under President Olusegun Obasanjo.
A collapse of global oil prices has whacked Nigeria’s public finances and weakened its naira currency, delaying public salaries and fuelling inflation.
Buhari has said he will trace and recover what he has called “mind-boggling” sums of money stolen over the years from the oil sector.
The dealings inside the state-owned company NNPC are so opaque that PriceWaterhouseCoopers, commissioned to conduct a forensic audit over the missing funds, said it was unable to obtain sufficient account documentation.
Not only is oil money stolen through accounting gymnastics and oversight gaps, but oil itself goes missing at unmetered oilfield wellheads, pipeline taps and export terminals.
Buhari has already split the NNPC into two entities, and said on Tuesday he was considering breaking up the company further to improve efficiency and better root out corruption.
“I haven’t absolutely made up my mind about that. We want to see what we have done in reducing the size and redeploying most of the management. We want to see the impact of that before we decide further.”

 
Leave a comment

Posted by on September 30, 2015 in International News

 

Tags: , , , ,

NMB gets $35 Syndicated Loan for SMEs and Corporates

NMB CEO, Ms. Ineke Bussemaker

NMB CEO, Ms. Ineke Bussemaker

THE National Microfinance Bank has closed a six-year 35 million US dollar (about 73.5bn/-) syndicated loan facility with Netherlands Development Finance Company (FMO) to boost its lending to small and medium enterprises (SMEs) and corporate borrowers.

According to a statement issued yesterday, the loan was arranged by FMO, in syndication with Proparco, a subsidiary of the Agence Francaise de Developement (AFD) which will provide 15 million US dollars and Swedfund 5 million US dollars.

“By supporting NMB Tanzania, we will contribute to providing credit to SMEs and Corporates in Tanzania, supporting economic development,” FMO’s Chief Investment Officer, Linda Broekhuizen is quoted as saying.

“NMB is a leading financial institution in Tanzania, which performs well and has a presence in most of its regions. The lenders are therefore very pleased to be part of this transaction.”

NMB Chief Executive Officer, Ms. Ineke Bussemaker said they were pleased with the deal as it would boost their growth in SMEs and corporate business with a special focus in agribusiness.

“We are pleased with the positive response of the international lenders to this transaction. This is the second time we have entered into a transaction with FMO, this time supported by Proparco and Swedfund. Again the loan will be used to accelerate our growth in SME and Corporate business, this time special focus on Agribusiness,” she is quoted as saying in the statement.

“This partnership reflects the international financial institutions’ confidence in NMB’s solid fundamentals — strong capital levels, well diversified loan portfolio and quality assets, and strong balance sheet with sustainable growth.”

The Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) listed bank, is one of the largest commercial banks in Tanzania, providing banking services to individuals, small to medium sized corporate clients, government services, large businesses and agriculture lending.

 
Leave a comment

Posted by on September 29, 2015 in Business News, Tanzania News

 

Tags: , , , , , , ,

BUSINESS TERM: Syndicated Loan

DEFINITION of ‘Syndicated Loan’ also known as Syndicated Bank facility

A loan offered by a group of lenders (called a syndicate) who work together to provide funds for a single borrower. The borrower could be a corporation, a large project, or a sovereignty (such as a government). The loan may involve fixed amounts, a credit line, or a combination of the two. Interest rates can be fixed for the term of the loan or floating based on a benchmark rate such as the London Interbank Offered Rate (LIBOR).

Typically there is a lead bank or underwriter of the loan, known as the “arranger”, “agent”, or “lead lender”. This lender may be putting up a proportionally bigger share of the loan, or perform duties like dispersing cash flows amongst the other syndicate members and administrative tasks.

 
2 Comments

Posted by on September 29, 2015 in Finance

 

Tags: , , ,

TBL dominates trade at DSE‏

DSE BANNERTHE Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) has recorded 98 per cent decline in turnover after posting 2.10bn/- compared to 106.87bn/- of the previous session.

Despite low turnover last week, the Tanzania Breweries Limited (TBL) continued to dominate the trading activities after contributing more than 60 percent of the turnover.

Similarly, the total volume of shares registered 99 per cent decrease to 1.42 million from 8.01 million that changed hands in the preceding market.

According to Zan Securities Limited Weekly Wrap-Ups, the market is likely to remain volatile due to low participation from both local and foreign investors.

The price movements within local listed companies were recorded in seven counters including the Tanzania Oxygen Ltd (TOL) and Tanzania Cigarette Company that led the list of top gainers by increasing by 10/- per share or 1.33 percent and 20/- per share or 0.12 percent respectively.

Top losers during the period under review were CRDB Bank Plc by 10/- per share or 2.63 percent, Tanzania Portland Cement Company Ltd (TPCC) and Swissport Company Ltd by 40 per share or 1.16 per cent and 80/- per share or 1.05 per cent respectively.

Three out of seven cross listed companies recorded a positive price movement at the end of the week; these were; USL, KA and JHL. NMG, ACA, EABL and KCB recorded a negative price movement during the week under review.

The market capitalization decreased by 1.50 percent to close at 22.16tri/- while Domestic Market capitalization decreased by 0.41 percent to close at 9.73tri/-.

Consequently, on a weekly comparison, key benchmark indices were in red territory with the Tanzania share index (TSI) capping at 4,593.15 points to close low by 0.34 percent compared with 4,608.83 points posted a week earlier. All Share Index (DSEI) closed at 2,530.38 points down by 1.52 percent.

The Industrial and Allied Index sustained downward trend by 0.05 percent to close at 6,222.17 points.

Bank, Finance and Investment Index recorded a negative trend by 1.15 percent to close at 2,945.96 points whereas commercial services index capped at 4,024.41 points low by 0.83 percent during the week under review.

 
1 Comment

Posted by on September 29, 2015 in Tanzania News

 

Tags: , , , , , , , , , , , , , ,

Internet access to everyone by 2020‏

Bill Gates Mark ZuckerbergFacebook founder Mark Zuckerberg and Microsoft billionaire Bill Gates threw their weight over the weekend behind the goal of bringing Internet access to everyone in the world by 2020.

The pledge comes amid a United Nations effort to eradicate extreme poverty by 2030, a goal set on Friday at a special summit at the global body.

The Internet became commonplace in developed countries in the 1990s, but UN officials estimate that half the world does not have reliable access — especially women and girls, whose education is vital to development.

“When people have access to the tools and knowledge of the Internet, they have access to opportunities that make life better for all of us,” said a declaration signed by Zuckerberg and Bill and Melinda Gates, who have devoted their wealth to philanthropy.

“The Internet belongs to everyone. It should be accessible by everyone,” the declaration said.

Zuckerberg, swapping his trademark hoodie for a suit and tie as he appeared at the UN, said that for every 10 people connected to the Internet, one is lifted out of poverty.

“The Internet is more than just a network of machines; it is the key driver of social and economic progress in our time,” Zuckerberg told a luncheon at the UN headquarters attended by German Chancellor Angela Merkel.

The 31-year-old entrepreneur pointed to the role of the Internet in empowering otherwise voiceless people in places such as Syria, where a civil war is producing a refugee exodus.

“A ‘like’ or a post won’t stop a tank or a bullet, but when people are connected, we have the chance to build a common global community with a shared understanding — and that’s a powerful force,” he said.

He estimated that spreading the Internet could also bring affordable education to 600 million children who would otherwise go unschooled.

Other signatories included Jimmy Wales, co-founder of free online encyclopedia Wikipedia, and U2 frontman Bono on behalf of his One anti-poverty campaign.

Jamie Drummond, global executive director of One which spearheaded the push, called on every country to come up with an “urgent plan” to meet the Internet access goals.

The campaigners did not announce funding on their own, but the UN has said that meeting the new global goals will cost between US$3.5 trillion and US$5 trillion per year.

The Bill and Melinda Gates Foundation on Saturday launched its own roadmap, which put a top priority on improving the health and education for girls.

Releasing the report, UN Secretary-General Ban Ki-moon said more than US$25 billion has been committed so far to meeting the goals, led by US$3.3 billion from the United States and large pledges from Canada, Germany and Sweden.

Melinda Gates, speaking to reporters in advance of the launch, said the health and education of girls was critical to anti-poverty efforts.

 
Leave a comment

Posted by on September 28, 2015 in International News

 

Tags: , , , , , ,

UN GLOBAL GOALS IN DETAIL

ban KWhat are the global goals?

The global goals serve as the world’s to-do list from 2016-2030. These goals form a shared agenda to end poverty, promote peace and opportunity for all, and protect the planet. Specifically, the 17 goals to be adopted in September are:

  • Goal 1. End poverty in all its forms everywhere
  • Goal 2. End hunger, achieve food security and improved nutrition and promote sustainable agriculture
  • Goal 3. Ensure healthy lives and promote wellbeing for all at all ages
  • Goal 4. Ensure inclusive and equitable quality education and promote lifelong learning opportunities for all
  • Goal 5. Achieve gender equality and empower all women and girls
  • Goal 6. Ensure availability and sustainable management of water and sanitation for all
  • Goal 7. Ensure access to affordable, reliable, sustainable and modern energy for all
  • Goal 8. Promote sustained, inclusive and sustainable economic growth, full and productive employment and decent work for all
  • Goal 9. Build resilient infrastructure, promote inclusive and sustainable industrialization and foster innovation
  • Goal 10. Reduce inequality within and among countries
  • Goal 11. Make cities and human settlements inclusive, safe, resilient and sustainable
  • Goal 12. Ensure sustainable consumption and production patterns
  • Goal 13. Take urgent action to combat climate change and its impacts*
  • Goal 14. Conserve and sustainably use the oceans, seas and marine resources for sustainable development
  • Goal 15. Protect, restore and promote sustainable use of terrestrial ecosystems, sustainably manage forests, combat desertification, and halt and reverse land degradation and halt biodiversity loss
  • Goal 16. Promote peaceful and inclusive societies for sustainable development, provide access to justice for all and build effective, accountable and inclusive institutions at all levels
  • Goal 17. Strengthen the means of implementation and revitalize the global partnership for sustainable development

* Acknowledging that the United Nations Framework Convention on Climate Change is the primary international, intergovernmental forum for negotiating the global response to climate change.

Here are some great resources to learn more about the global goals for sustainable development:

UN.org/action2015

GlobalGoals.org

GlobalDaily.com

– See more at: http://unfoundationblog.org/

 
2 Comments

Posted by on September 26, 2015 in Articles, International News

 

Tags: , , , , ,

UN 15 Years Sustainable Development Goals

As the United Nations notes, 2015 is a time for global action. From September 25 to September 27 2015, world leaders will gather at the UN to adopt 17 Sustainable Development Goals to achieve extraordinary things in the next 15 years: end poverty, promote prosperity and well-being for all, and protect the planet. These Sustainable Development Goals set a course to achieve these objectives – for people everywhere.
UN

If the goals are going to work, everyone needs to know about them. You can’t fight for your rights if you don’t know what they are. You can’t convince world leaders to do what needs to be done if you don’t know what you’re convincing them to do. If the goals are famous, they won’t be forgotten.

We can be the first generation to end extreme poverty, the most determined generation in history to end injustice and inequality, and the last generation to be threatened by climate change.

– See more at: http://www.unfoundation.org/features/globalgoals/the-global-goals.html#sthash.n3JvZFHw.dpuf

 
 

Tags: , , , ,

Tanzania Government to borrow for productive ventures‏

The government will continue borrowing abroad for productive investment, senior central bank official said.

 BOT Tower

Bank of Tanzania Director of Research and Policy, Dr Joseph Masawe, said talks were currently going on with banks on a syndicated loan of between $500 million and $800 million, with proceeds earmarked to finance development projects.

“The government is in talks with various institutions, but that is being done very cautiously,” he said.

He said the country’s total debt now stood at the equivalent of about 39 percent of gross domestic product (GDP), a

figure that takes into account the maturity profile of the debt.

Based on those debt levels, he said, there was still “a lot of headroom” for borrowing for productive investment.

He also said that Tanzania still intended to issue its first Eurobond but that it would not do so “at any cost”, noting that the cost of such borrowing had climbed.

Several African nations have sold debut Eurobonds in the past the two years or so, including neighbouring Kenya and Rwanda, but turmoil on global markets has driven up yields on such issues, discouraging some other new

sovereign borrowers.

Tanzania had in the past said it would seek to issue the Eurobond in financial year 2015/16, which started on July 1.

Dr Masawe said that the government was now in discussion with banks to raise $500 million to $800 million

via a syndicated loan for this financial year.

“All these resources will be for investment in development projects, including infrastructure,” he said.

“We intend also to go for a Eurobond. Definitely we will look at price, because it is not money at any cost,” added Dr Masawe. “Tanzania intends to issue a Eurobond when the prices are favorable.”

He said Tanzania’s likely cost of borrowing in the Eurobond market had risen in recent months from 6-7 percent

to 9 percent.

Dr Masawe said it would take about 12 months before Tanzania had secured a credit rating, so the east African

country could be ready to issue a Eurobond by late 2016, assuming the pricing was right then.

 
Leave a comment

Posted by on September 25, 2015 in Tanzania News

 

Tags: , , ,